nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Umeona eeh...haya mambo ya kulalamikia mabosi mitandaoni mara nyingi hayana ukweli ni majungu tu...si mumwambie kwenye vikao vya wafanyakazi ili mumpe fursa ajitetee...mnamuogopa?
Ndege gani ya kukodi mil 4?