Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,768
- 14,991
Mwenye gubu siku zote yupo upande wa shetani na shetani HAJAWAHI kumshinda Mungu!Wale watu sijui watajificha wapi
Hongera sana Prof. Janabi!👍👍👍👍
Mwenye gubu siku zote yupo upande wa shetani na shetani HAJAWAHI kumshinda Mungu!Wale watu sijui watajificha wapi
Chadema andaeni maandamano mana huko Uswisi napo hakuna tume huru ya uchaguzi 😂Kura za kuhonga wallah ,maana ni Janabi ni zero brain. Kulinganisha na wenzake.
Nani mwingine tena? Ni uimara na jina alilojenga Rais wetuUtasikia Mama Mama Mama Mama Mama.mama m.aam aha aha ha hovyo kabisa
Hao ulowataja sio chawa ni maguruguru mwitu.Chawa wa chadema wakiongozwa Erythrocyte na Mshana Jr wakiona hii itawauma Sana 😂
Ndo viongozi hapa, wote hao hawana akili.Hao ulowataja sio chawa ni maguruguru mwitu.
Prof: Janabi kaongea vizuri sana ni umbumbu wa watanzania hawapendi maendeleo ya wengineVOTING RESULTS:
1. 🇹🇿 Prof Yakub Janabi: 32
2. 🇨🇮 Dr N’da Konan Yao: 5
3. 🇬🇳 Mohamed Drame: 4
4. 🇹🇬 Prof Moustafa Mijiyawa: 4
Nami natamani kujua, kama nchi kuna faida gani inapatikana kuwa na kiongozi ngazi hiyo huko WHO? Maana nakumbuka Migiro alikuwa UN, Salim Ahmed nae AU ila sidhani kama kuna tija yoyote kwa taifa.
Wacha hizo wewe!Ujinga mtupu inasaidia nini kwetu.
Wale watu hovyo sana tena wakaanza kuongea kuhusu mambo ya sukari..
Viongozi wa majuha ata majuha wanahitaji kuongozwa .. walivo na vichwa panzi basi hadi aibu.Ndo viongozi hapa, wote hao hawana akili.
Hongera kwakeHii ni taarifa ya hivi punde.
Prof. Mohamed Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili amechaguliwa kuongoza Shirika la Afya Duniani ukanda wa Africa.
Pongezi nyingi kwake na watanzania.
===============
Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Uchaguzi huo umefanyika leo, Jumapili Mei 18, 2025, huko Geneva, Uswisi.
Prof. Janabi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda hiyo na Waziri wa zamani wa Afya wa Tanzania, aliyefariki dunia Novemba 2024.
Katika nafasi hii mpya, Prof. Janabi atahudumu kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa na fursa ya kuchaguliwa tena kwa muhula mmoja zaidi. Kazi yake kuu itakuwa ni kuongoza juhudi za kuunda sera za afya, kuratibu huduma za dharura za afya, pamoja na kushinikiza suluhu bunifu kwa changamoto za kiafya barani Afrika.
Wagombea wengine walioshiriki katika uchaguzi huo lakini hawakufanikiwa ni pamoja na:
- Moustafa Mijiyawa (Togo)
- Dk. N’Da Konan Michel Yao (Ivory Coast)
- Mohamed Lamine Dramé (Guinea)
View attachment 3338251
Pesa za kampeni huwa hazirudishwi ...Sasa taifa litarudishaje mabillion yaliyotumika kwenye kampeni na hongo?
Na bado kubwa kuliko hapo Octoba, ndo mtapatapata freshTuliokuwa tunalibeza zee la kuzuia juice tukutane wapi? Hakika tumepigwa na kitu kizito!