Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,772
- 127,982
😄😁😄😄😄😁😂Kwahiyo Cheo Ndiyo RambirambiPunguza kelele basi si kapewa tu kulipa fadhira za yule Marehemu NDUNGULILE
Pole 😂Chuki zipi? Mbona kama umekosea njia? Acha makasiriko, amani itawale
Kwa Lipi MkuuCHADEMA watanuna mbaya..!
Mbona wakati mnampinga hamkusema atapewa kama fadhila za marehemu?Punguza kelele basi si kapewa tu kulipa fadhira za yule Marehemu NDUNGULILE
Hii ni taarifa ya hivi punde.
Prof. Mohamed Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili amechaguliwa kuongoza Shirika la Afya Duniani ukanda wa Africa.
Pongezi nyingi kwake na watanzania.
===============
Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Uchaguzi huo umefanyika leo, Jumapili Mei 18, 2025, huko Geneva, Uswisi.
Prof. Janabi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda hiyo na Waziri wa zamani wa Afya wa Tanzania, aliyefariki dunia Novemba 2024.
Katika nafasi hii mpya, Prof. Janabi atahudumu kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa na fursa ya kuchaguliwa tena kwa muhula mmoja zaidi. Kazi yake kuu itakuwa ni kuongoza juhudi za kuunda sera za afya, kuratibu huduma za dharura za afya, pamoja na kushinikiza suluhu bunifu kwa changamoto za kiafya barani Afrika.
Wagombea wengine walioshiriki katika uchaguzi huo lakini hawakufanikiwa ni pamoja na:
- Moustafa Mijiyawa (Togo)
- Dk. N’Da Konan Michel Yao (Ivory Coast)
- Mohamed Lamine Dramé (Guinea)
View attachment 3338251
Hongera Tanzania, Hongera Africa.Hii ni taarifa ya hivi punde.
Prof. Mohamed Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili amechaguliwa kuongoza Shirika la Afya Duniani ukanda wa Africa.
Pongezi nyingi kwake na watanzania.
===============
Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Uchaguzi huo umefanyika leo, Jumapili Mei 18, 2025, huko Geneva, Uswisi.
Prof. Janabi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dk. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda hiyo na Waziri wa zamani wa Afya wa Tanzania, aliyefariki dunia Novemba 2024.
Katika nafasi hii mpya, Prof. Janabi atahudumu kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa na fursa ya kuchaguliwa tena kwa muhula mmoja zaidi. Kazi yake kuu itakuwa ni kuongoza juhudi za kuunda sera za afya, kuratibu huduma za dharura za afya, pamoja na kushinikiza suluhu bunifu kwa changamoto za kiafya barani Afrika.
Wagombea wengine walioshiriki katika uchaguzi huo lakini hawakufanikiwa ni pamoja na:
- Moustafa Mijiyawa (Togo)
- Dk. N’Da Konan Michel Yao (Ivory Coast)
- Mohamed Lamine Dramé (Guinea)
View attachment 3338251
Swala la watu kutekwa na kupotea ni moja ya aina za uhalifu wa kawaida unaotokana na mmomonyoko wa maadili baina ya watanzania.Hii tabia ya kuteka na kupoteza watu inayofanywa na watu wasiojulikana isipokomeshwa inaweza kutuharibia.
Pole mimi au wewe?Pole 😂
Ila jamaa ameshashinda
Kwahiyo kwenye ushindi wa professor Janabi pia kuna kura fake?!CCM Hawatajificha Watatamba Mitaani Maana Wamezoea Kuiba Kura, INEC fake, Msajili Janja Janja
Kelele zote zile ety asishinde 😂 Dah mpaka mishipa iliwatokaPole mimi au wewe?
Kushinda na kutoshindwa kwake sioni kama kuna manufaa yoyoteNa mm Narudi kwenye swali sasa, angeshindwa kungekuwa na manufaa gn kwa Tanzania?
Kwa hiyo hizi ndio faida? 😅😅😅Tanzania inajulikana kimataifa kwamba ni Moja ya nchi zenye wasomi wabobevu wenye sifa za kusimamia mambo ya kimataifa.
Kama kuna watu walikuwa hawaijui Tanzania wataanza kufatilia habari za Tanzania kijiografia, kisiasa, kitaaluma, kitalii , kiuchumi na mengine mengi yatakayoboresha ushirikiano kati ya Tanzania na mataifa mengine ya Africa na dunia kwa ujumla wake.
Kuaminiwa kwa pro.Janabi kwa nafasi hiyo ni moja ya misingi ya kuaminiwa watanzania wengine katika nafasi mbalimbali za uongozi wa kimataifa na hilo ni jambo zuri sana.
MkuuKwahiyo kwenye ushindi wa professor Janabi pia kuna kura fake?!
Kama n hvy mbona unatokwa na mishipa ya kichwa kuuliza manufaa akishinda? Bila kuuliza akishindwa.Kushinda na kutoshindwa kwake sioni kama kuna manufaa yoyote
Dooh! Basi sawaKelele zote zile ety asishinde 😂 Dah mpaka mishipa iliwatoka
Hapa na waseme kumeibiwa kura piaCHADEMA watanuna mbaya..!