Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,640
- 46,282
Subiri ukishashiba futari urudi kuchangia madaKwani ulinunua treni ya mwendo kasi?
Subiri ukishashiba futari urudi kuchangia madaKwani ulinunua treni ya mwendo kasi?
Natafuta clip ambayo yule rais kichaa alitamka hadharani kuwa treni itatumia masaa 3 kutoka DAR mpk Mwanza. Nikiipata nafungua uziHivi kutoka 40 km/hr Hadi 160 km/hr siyo mwendo kasi?
Nimeshachangia.Subiri ukishashiba futari urudi kuchangia mada
Masaa 3 mpaka Dodoma inatoshaMkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
We samia nyamaza, huna pointi.Nimeshachangia.
sitegemei jibu.
Una amini unaweza maintain hiyo speed mkuu!?Unaanza safari saa 9 usiku barabara ikiwa haina vurugu, by 12 asubuhi ushaiona Chalinze ya Dodoma
Mnatak kufananisha 180kmph ya ist na ya land cruiser mko seriois kwelii...50km/h ya sgr inaweza zaidi kua kama 180 ya ist..kwasababu speed ya treni ni uniform...gari inabadilika badilikaMkuu unatembea na IST toka Dar mpaka Dodoma na unafika masaa matatu???
Embu kuwa serious kaka ni 440+km zile.
IST top speed ni 180kmph.
Aya niambie na foleni za road unafikaje kwa masaa matatu???
Ndio mimi namuuliza jamaa kwa IST kweli afike Dodoma kwa masaa matatu???Mnatak kufananisha 180kmph ya ist na ya land cruiser mko seriois kwelii...50km/h ya sgr inaweza zaidi kua kama 180 ya ist..kwasababu speed ya treni ni uniform...gari inabadilika badilika
Kadogosa anafanya nini hapo si alipaswa kuwa sehem kama segereaMkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Ni mwendo kasi.Hivi kutoka 40 km/hr Hadi 160 km/hr siyo mwendo kasi?
Kumbuka hii treni ina vituo njiani,inatakiwa kushusha na kupakia abiria lakini bado inatumia saa 1.30,sasa ikiamua tu ikimbie bila ya kusimama si itakuwa shida...Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Unataka biriani kwa hela yako ya ugali dagaa?We samia nyamaza, huna pointi.
Mkuu, swaumu kali nini?Ulilazimishwa ufike?
Bado ni nafuu sana kutumia masaa 3 kwasababu Dar - Dodoma kwa Bus ni masaa 9 kwahiyo kuna unafuu sanaMkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.
Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".
Source: ITV habari.
My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Siyo kweli mkuu, itakuwa wewe huwa unapanda Toyo. Kutoka DAR mpk Dodoma ni masaa 7 tuBado ni nafuu sana kutumia masaa 3 kwasababu Dar - Dodoma kwa Bus ni masaa 9 kwahiyo kuna unafuu sana
Kali pilipili.Mkuu, swaumu kali nini?
Nakubaliana na wewe kabisa, isipokuwa wakati mwingine unajikuna pale unapoweza. Kwa hali ya ya uchumi wa nchi, ambao bado unategemea huruma za wahisani na mikopo, inabidi tupange na kuchagua kipi cha kufanya sasa hivi na kipi kifanywe baadae.Mkuu hakuna haja ya kujenga VITU ambavyo vimepitwa na Wakati
Baada ya muda tuje tung'oe Tena hio ni hasara kubwa Sana
Ingekuwa hizo za high speed hazijabuniwa tungekubali kuanza na hizo
Ni Bora tungejenga high speed KUTOKA Moro Hadi Dar
Then tujipange Tena
Hii Dunia inaenda Kasi Sana kwenye tech ,
Hamna muda wa kupoteza na tech ya kizamani