Prof. Mbarawa: Treni za SGR ni za mwendo wa kawaida (siyo mwendokasi)

Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.

Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".

Source: ITV habari.

My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Masaa 3 mpaka Dodoma inatosha
Amesema si kama za China lakini kwetu sio mbaya.
 
Unaanza safari saa 9 usiku barabara ikiwa haina vurugu, by 12 asubuhi ushaiona Chalinze ya Dodoma
Una amini unaweza maintain hiyo speed mkuu!?
Unaamini kuna usalama kabisa!?
Maana kuanzia pale Chalinze mpaka Mikese kuna road nyembamba sana.
 
Mkuu unatembea na IST toka Dar mpaka Dodoma na unafika masaa matatu???
Embu kuwa serious kaka ni 440+km zile.
IST top speed ni 180kmph.
Aya niambie na foleni za road unafikaje kwa masaa matatu???
Mnatak kufananisha 180kmph ya ist na ya land cruiser mko seriois kwelii...50km/h ya sgr inaweza zaidi kua kama 180 ya ist..kwasababu speed ya treni ni uniform...gari inabadilika badilika
 
Mnatak kufananisha 180kmph ya ist na ya land cruiser mko seriois kwelii...50km/h ya sgr inaweza zaidi kua kama 180 ya ist..kwasababu speed ya treni ni uniform...gari inabadilika badilika
Ndio mimi namuuliza jamaa kwa IST kweli afike Dodoma kwa masaa matatu???
Hapo bado foleni hapo bado kupoa kwa hilo boksi la usafiri IST.
 
Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.

Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".

Source: ITV habari.

My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Kadogosa anafanya nini hapo si alipaswa kuwa sehem kama segerea
 
Hivi kutoka 40 km/hr Hadi 160 km/hr siyo mwendo kasi?
Ni mwendo kasi.
Ila kuna mwendo wa haraka zaidi ambao ndio hizo higher speed train zinazotembea hadi 600kmph yani toka Dar mpaka Singida kwa lisaa.
Hii yetu ni standard speed train mkuu.
Hizo higher speed train hutembea katika broad gauge railway na maglev rail tracks.
 
Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.

Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".

Source: ITV habari.

My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Kumbuka hii treni ina vituo njiani,inatakiwa kushusha na kupakia abiria lakini bado inatumia saa 1.30,sasa ikiamua tu ikimbie bila ya kusimama si itakuwa shida...
 
Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma.

Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na South Korea. Na hata ujenzi wa reli yake ni tofauti na hii ya kwetu ".

Source: ITV habari.

My take; Naona kama tumebadllishiwa gia angani. Mbona mwanzo tuliambiwa itakuwa treni ya mwendo kasi? Kama Dar mpk Moro ni saa moja na nusu, kuna haja gani ya kuitumia? Si ni bora watu waendelee kutumia IST ama Vitz zao tu?
Bado ni nafuu sana kutumia masaa 3 kwasababu Dar - Dodoma kwa Bus ni masaa 9 kwahiyo kuna unafuu sana
 
Bado ni nafuu sana kutumia masaa 3 kwasababu Dar - Dodoma kwa Bus ni masaa 9 kwahiyo kuna unafuu sana
Siyo kweli mkuu, itakuwa wewe huwa unapanda Toyo. Kutoka DAR mpk Dodoma ni masaa 7 tu
 
Mkuu hakuna haja ya kujenga VITU ambavyo vimepitwa na Wakati
Baada ya muda tuje tung'oe Tena hio ni hasara kubwa Sana

Ingekuwa hizo za high speed hazijabuniwa tungekubali kuanza na hizo

Ni Bora tungejenga high speed KUTOKA Moro Hadi Dar
Then tujipange Tena

Hii Dunia inaenda Kasi Sana kwenye tech ,
Hamna muda wa kupoteza na tech ya kizamani
Nakubaliana na wewe kabisa, isipokuwa wakati mwingine unajikuna pale unapoweza. Kwa hali ya ya uchumi wa nchi, ambao bado unategemea huruma za wahisani na mikopo, inabidi tupange na kuchagua kipi cha kufanya sasa hivi na kipi kifanywe baadae.

Haiwezekani nchi ijiingize kwenye mega economic development projects zaidi ya sita, ambazo zinagharimu trillion of shillngs, na ambazo tunategemea kukoapa na kupewa na wafadhili, halafu tutegemee kupata World class results. Binafsi, sidhani kama that is possible hata kidogo.
Hebu angalia hii miradi ya maendeleo ambayo nchi iliamua kuianzisha kwa ajili ya maendeleo ya nchi:
-SGR
-Mwalimu Nyerere Hydro Electric Dam
-Daraja la Busisi/ Kigongo
- Tanzania/ Uganda pipeline kutoka Tanga
-Kuna miradi kibao ya mwendo kasi inaendela hapo Bandari Salam.
-Kuna lile daraja kule kwa matajiri, Msasani Peninsula
- Nasikia Kuna project nyinge ya kutandaza Cable wire kule Mt. Kilimanjaro kwa ajili ya utilii.

Hii yote ni miradi mikubwa sana Na yenye gharama. Bila kuweka kipaumbele, kuna baadhi ya miradi tutabambikiwa tu au itakamilishwa below standard. Kuna msemo kwenye lugha ya wakoloni , unasema, "Don't bite off more than you can chew". Na ndicho tunachofanya.

Binafsi naona ni vizuri turidhike na kile tunachoweza kumudu.
 
Back
Top Bottom