Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

Prof Kabudi ambaye ni waziri mteule wa mambo ya nje amesema Tanzania haiwezi kuyumbishwa na vitisho vya kunyimwa misaada.

Kabudi amesisitiza kuwa Tanzania ni nchi huru inayoheshimu utu wa mtu na kamwe haitayumbishwa na nchi yoyote kwa vitisho vya kukatiwa misaada.

Kuhusu uchaguzi Prof Kabudi amesema ulikuwa huru na wa haki na dunia nzima imeshangaa maana hatukutumia posta kama wale wengine lakini uchaguzi wetu umefanyika kwa amani kabisa.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Utu upi? Kupiga watu risasi? Au udanganyifu kwenye uchaguzi
 
Ukiona kauli za viongozi wapumbavu muanze kununua dollar Pesa yetu ya Madafu itaporomoka kama mvua... afu kila kitu kitapanda bei na mazao ndio yatapanda thamani bidhaa zingine zitakuwa hazina maana tena... kweli tumeula wa chuya... Hali ikiwa mbaya tutakuwa hatuna budi kuwaondosha hawa naomba wajitafakari mapema
 
Naomba asirudie tena kauli hizi ananitamanisha nimpige konzi la jicho, maisha yetu sio ya kuchezewa kisa yeye ameshiba
 
Huyu waziri kwa sababu yeye na familia yake wameshiba ndio maana wanajibu majibu ya ujeuri...

Hana staha kwa watu waliotusaidia ni tabia ya kukosa shukrani kwa wahisani wa maendeleo

Katumwa upumbavu kauleta kama ulivyo

Ngoja tuchangie kwa kingereza ndio wateteaji wetu wa bunge la Ulaya watatusikia
 
Mimi naomba niseme tu matamshi yaliyotolewa na Prof. Mheshimiwa sana kwa wahisani wa maendeleo hapa nchini, yana faida moja kubwa sana nayo ni kuonyesha uhalisia wa aina ya viongozi tulionao katika awamu hii.

Wacha wajionee arrogance ya hawa watu ili hata pale wapinzani na wanaharakati wengine wanapowataka wachukue hatua, labda sasa watakuwa wanaewaelewa kwani wahisani hawa wamekuwa wagumu kuchukua hatua stahiki.

Na pia speech ya bwana Professor itawasaidia kujua shukrani yetu kwa msaada na mikopo wanayotupatia.

Ukweli ni kwamba, faida ya kitu huonekana pale kitu husika kinapokosekana, kwahiyo tujipe muda tu kuona hii arrogance inaishia wapi.
 
Prof Kabudi ambaye ni waziri mteule wa mambo ya nje amesema Tanzania haiwezi kuyumbishwa na vitisho vya kunyimwa misaada.

Kabudi amesisitiza kuwa Tanzania ni nchi huru inayoheshimu utu wa mtu na kamwe haitayumbishwa na nchi yoyote kwa vitisho vya kukatiwa misaada.

Kuhusu uchaguzi Prof Kabudi amesema ulikuwa huru na wa haki na dunia nzima imeshangaa maana hatukutumia posta kama wale wengine lakini uchaguzi wetu umefanyika kwa amani kabisa.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hawajatisha wameuliza tu kale ka fedha ka korona mmekapeleka wapi.

Wajibu tu sio unaanza kuwafokea.
 
Mabeberu wapite hivi, kabla ya 2025 tutaanza kuwapelekea chupi za mitumba kama misaada, wasituyumbishe sisi ni dona kantrii, industrialized na nchi huru kabisa.
 
sasa yatubid Tuwajengee wananch political will ya kuvumilia tukiyakosa Yale Matunda yatokanayo na misaada badala ya kuandamana!Yaan kufunga mkanda
Tutavumilia kama na wao watakuwa wanatembea kwa mguu. Sio sie tunashindia mlo mmoja wao wanaungurumisha maV8 na Ma BMW
 
Mimi naomba niseme tu matamshi yaliyotolewa na Prof. Mheshimiwa Sana kwa wahisani wa maendeleo hapa nchini, yana faida moja kubwa sana nayo ni kuonyesha uhalisia wa aina ya viongozi tulionao katika awamu hii.

Wacha wajionee arrogance ya hawa watu ili hata pale wapinzani na wanaharakati wengine wanapowataka wachukue hatua, labda sasa watakuwa wanaewaelewa kwani wahisani hawa wamekuwa wagumu kuchukua hatua stahiki.

Na pia speech ya bwana Professor itawasaidia kujua shukrani yetu kwa msaada na mikopo wanayotupatia.

Ukweli ni kwamba,faida ya kitu huonekane pale kitu husika kinapokosekana, kwahiyo tujipe muda tu kuona hii arrogance inaishia wapi.
Shetani anazidi kujifunua
 
Mimi naomba niseme tu matamshi yaliyotolewa na Prof. Mheshimiwa Sana kwa wahisani wa maendeleo hapa nchini, yana faida moja kubwa sana nayo ni kuonyesha uhalisia wa aina ya viongozi tulionao katika awamu hii.

Wacha wajionee arrogance ya hawa watu ili hata pale wapinzani na wanaharakati wengine wanapowataka wachukue hatua, labda sasa watakuwa wanaewaelewa kwani wahisani hawa wamekuwa wagumu kuchukua hatua stahiki.

Na pia speech ya bwana Professor itawasaidia kujua shukrani yetu kwa msaada na mikopo wanayotupatia.

Ukweli ni kwamba,faida ya kitu huonekane pale kitu husika kinapokosekana, kwahiyo tujipe muda tu kuona hii arrogance inaishia wapi.
Post ya kishamba Sana hii... Mawazo mgando yaliyopitwa na wakati ....
 
Nyuma ya pazia
FB_IMG_1605902312396.jpg
 
Back
Top Bottom