Inasemekana Kabudi ni Mwanasheria. Binafsi sioni umahiri wake. Anaongea Kama yupo kwenye matuta ya viazi mbatata.
Kabudi anasahau kwamba Tanzania imesaini Mikataba mbalimbali ya kimataifa yenye masharti mengi including sharti la kuheshimu Demokrasia, Haki na Uhuru wa Mawazo.
Kabudi anaongea Kama vile haoni ukiukwaji wowote wa Sheria, Katiba, Kanuni na Taratibu zozote katika Tanzania ya leo. Anasema uchaguzi ulikuwa Huru, wa Haki Tena wa standard ya USA.
Nadhan Kabudi ameanza kuchanganyikiwa. Kabudi huyu sio yule mwanasheria nguli. Nashauri Kabudi huyu apimwe akili lazma itakuwa amepatwa na tatizo la Afya ya akili.
Kama mtu wa Aina hii ndio Mshauri wa Rais wetu, basi tusitegemee la ziada Mana sioni dalili yoyote ya Kabudi huyu kutoa Ushauri wenye maslah kwa Taifa na unaopingana na Maamuzi mabovu ya Serikali.
Kabudi anasahau kwamba Tanzania imesaini Mikataba mbalimbali ya kimataifa yenye masharti mengi including sharti la kuheshimu Demokrasia, Haki na Uhuru wa Mawazo.
Kabudi anaongea Kama vile haoni ukiukwaji wowote wa Sheria, Katiba, Kanuni na Taratibu zozote katika Tanzania ya leo. Anasema uchaguzi ulikuwa Huru, wa Haki Tena wa standard ya USA.
Nadhan Kabudi ameanza kuchanganyikiwa. Kabudi huyu sio yule mwanasheria nguli. Nashauri Kabudi huyu apimwe akili lazma itakuwa amepatwa na tatizo la Afya ya akili.
Kama mtu wa Aina hii ndio Mshauri wa Rais wetu, basi tusitegemee la ziada Mana sioni dalili yoyote ya Kabudi huyu kutoa Ushauri wenye maslah kwa Taifa na unaopingana na Maamuzi mabovu ya Serikali.