Prof. Kabudi afunika bungeni

Prof. Kabudi afunika bungeni

Profesa Kabudi ni namba ingine kwenye kitivo cha ufaulu wake WA digrii ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam rekodi yake ya ufaulu haijawahi vunjwa na yeyote toka Tanzania ipate uhuru hadi leo kwa yeyote anayesoma digrii ya sheria. Mwanae pia aliweka rekodi ya ufaulu chuo kikuu cha ardhi ambayo haijawahi vunjwa tokea Tanzania ipate uhuru na haijavunjwa hadi Leo. Huyo huwezi mshindanisha na wapiga yowe na makelele Kama akina Lisu, mbowe, akina lema na Sugu the music rapper.Mwingine mwenye akili kupindukia ni profesa Lipumba alivunja rekodi ya ufaulu kwenye digrii ya uchumi chuo kikuu cha dar es salaam ambayo toka uhuru hadi sasa Hakuna mtanzania aliyevunja rekodi ya Lipumba

Sifa za kipuuzi, hao uliwataja kuwa ni wasomi ni kipi wamefanya cha maana katika nchi hii? Mwingine sio ndio huyo ameamua kugombania uenyekiti alioukataa na sasa anaendesha genge la mauaji huku akishirikiana na serekali? Kumbuka mtu kama Lipumba ndio walioandika proposal jinsi ya kubinafsisha viwanda leo hii vijana wanazunguka na chupi na soks tatu mkononi eti ni wamachinga. Nilitaraji ungetuonyesha kwa ufaulu wao wamefungua miradi gani ya uzalishaji mali iliyowapa ajira watanzania katika kupambana na umaskini. Sio unatuandikia eti ni wasomi waliovunja rekodi wakati wanashinda kwa waganga wa kienyeji wasikose ajira kwenye taasisi mbalimbali.
 
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!

Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.

Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.

Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.

Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.

Mungu amsimamie afike mbali.

Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.

huwa nachukia sana kuona mnawatofautisha wabunge wakiwa mjengoni kwa kusema hawa ni wapinzani na hawa ndo wenyewe
 
Je, ni sahihi kwa nchi kuwa na sheria ambazo zina favour baadhi ya makabila? Iweje kuwe na sheria zenye vifungu vinavyo-favour ukabila halafu Tanzania kusiwe na ukabila?

Kulikuwa na haja gani ya kujipambanua kuwa yeye ni Prof. wa sheria?

'kwa bahati mbaya' ila kwenye Kiswahili hakuna bahati mbaya. Sasa alitamkaje hilo neno kama hakuna kwenye Kiswahili?

Katoa factors za kubadilisha au kutunga sheria na kuziacha nyingine halafu alikuwa amesahau hiyo ya wa Maasai na Mabohola as if wao muda umesimama.

Je, hiyo sheria ya ndoa bado serikali ina negotiate na Wamaasai na Mabohola?
 
ukweli usemwe Prof Kabudi yuko vizuri jamani ...ila nikazie tu hapo aliposema kamanda Mwita waitara Wasipo mharibu tutaenda vizuri
 
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!

Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.

Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.

Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.

Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.

Mungu amsimamie afike mbali.

Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.

Yuko vizuri. Nimempenda.
 
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!

Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.

Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.

Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.

Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.

Mungu amsimamie afike mbali.

Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.

Kama Sugu katoa macho, wale ndugu zangu wengine akina Msukuma, Lusinde na Majimarefu company, wao si watakuwa wametoa vipumulio kabisa.
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Kula like Mkuu
 
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!

Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.

Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.

Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.

Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.

Mungu amsimamie afike mbali.

Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.

Yuko vizuri ndio maana aliteuliwa. Atawanyoosha wabunge vilaza kama yule mwenye zero form 6 yule mwenyekiti
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Bavicha bana hamtaki kukubali ukweli.Eti vimaendeleo!
 
Back
Top Bottom