Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,781
- 2,077
Huna akili ndugu....ungepita udsm faculty of law ungemfahamu...kwa kuwa nyinyi mmesoma maporini bakini kama mlivyo nyambaf
Mwanafunzi wa professa mahiri umeshindwa kupinga hata hoja moja nilizoonyesha madhaifu ya Palamagamba, umeishia kutukana.
Wakati ukiwa mwanafunzi wake UD ulikuwa mtoto mdogo, ndo maana akaku mesmerize, ulikuwa huna upeo wa kuchambua mchele na pumba anazotapika mwalimu.
Professor anajifanya mtaalam wa lugha lakini anasema serikali ilipitisha THE LAW OF CHILD ACT. Kama wewe ni distinguished intellectual basi sikika tofauti na vilaza wengine wanaoita sheria THE LAW OF CHILD ACT.
Kasema hawezi kuleta muswada wa kuwezesha bunge kushiriki kutunga miswada, kama Mulugo alivyoomba, kwa sababu hilo liko nje ya mamlaka yake Waziri. Mpaka hapo kaeleweka, halafu akaongeza manjonjo: HILO NI SUALA LA BUNGE LENYEWE. LAKINI NITATOA INDARI. HAITAKUWA MUAFAKA.
Nini hakitakuwa muafaka?
Unawatisha watoto wako wa kitivo ambao wamekuja chuo kutoka bara hawajui Kiswahili? Uko bungeni sasa hivi mheshimiwa.