OkMajibu gani unaona kabisa huyu mtu sio mwanasiasa. Agenda za administration laws zinatoka serikarini sio kwa wabunge, unaweza kuanzisha hoja binafsi lakini serikari ailazimishwi kupokea wao ndio wanaamua mipango ya ufanisi sio bunge.
Isitoshe ata mwanafunzi wa A level anaweza kukwambia laws evolve with changing social morality so what is special about that tuwe na tabia za kujisomea sio kutukuza elimu za watu kwa hoja nyepesi mno.
Msifie form Six division zero mbowe mwenzio basi!ma dokta kama wakina mwakiembe ha ha ha ha ha ha ha sina mili 7 ngoja ninyamaze
Msifie form Six division zero mbowe mwenzio basi!ma dokta kama wakina mwakiembe ha ha ha ha ha ha ha sina mili 7 ngoja ninyamaze
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!
Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.
Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.
Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.
Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.
Mungu amsimamie afike mbali.
Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.
Waitara katoa angalizo maccm wasipomuharibu huyo Waziri !Daah ni kweli jamaa ni kichwa i see. Bravo prof
Ndugu hao watashinda kwa kiasi kikubwa, kwani wanawajibika vizuri, na Hawabadilizhi GEAR ANGANI.Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Kajifundishe bunge linavyofanya kaziUmemsifia sana lakini naomba nikuulize kwa nini maswali ya nyongeza ya Mh Mulugo amejibu kwa kusoma majibu? Ina maana hata hayo maswali ya nyongeza alishapewa hivyo ni kiini macho
Navyomjua Kabudi huwa ana panic sana mtaona siku hiyoNgoja akutane na Lissu kwenye zile hoja ngumu ndio atajua utamu wa propessa
and why mention Sugu... kwa nini usimtaje naibu spika kwamba ndiye anatoa macho