Prof. Kabudi afunika bungeni

Prof. Kabudi afunika bungeni

Kumbe ni ccm mie ccm yeyote yule kwangu shetani
 
Majibu gani unaona kabisa huyu mtu sio mwanasiasa. Agenda za administration laws zinatoka serikarini sio kwa wabunge, unaweza kuanzisha hoja binafsi lakini serikari ailazimishwi kupokea wao ndio wanaamua mipango ya ufanisi sio bunge.

Isitoshe ata mwanafunzi wa A level anaweza kukwambia laws evolve with changing social morality so what is special about that tuwe na tabia za kujisomea sio kutukuza elimu za watu kwa hoja nyepesi mno.
Ok
 
Hakika taifa na bunge la JMT linahitaji watu aina ya huyu profesa!

Mosi, ana uwezo wa hali ya juu wa kujibu hoja bila kuudhi.

Pili, ni ubobezi katika eneo husika la sheria anateleza tu na vifungu mpaka raha.

Tatu, matumizi ya lugha ya kiswahili mwanana anapiga misamiati mpaka baadhi ya wabunge kama sugu wanatoa macho.

Mwisho kabisa, anaonekana ni msikivu na mnyenyekevu kwa wabunge wote hata upinzani. Watanzania tunahitaji wabunge na mawaziri wa namna hii kwa kweli.

Mungu amsimamie afike mbali.

Tazama video ya majibu aliyoyatoa leo bungeni,lazima umkubali.

Kujibu hoja na kutenda vitendo ni vitu viwili tofauti
 
Kwangu mm hata wale viongozi ambao wametoka uhalisia wa wengi wapo kiundan hawajahama

Labda kifupi vijana ndio hatufuati wazamani kutuchagulia chama/kiongozi
 
Hongera prof....
Hapo prof anaonekana ni yy kama yy... Anapendeka kwa kila mmoja... Ila anayo safari Ya kwenda..
Namuombea kwa Mungu asipite njia aliyo pita Dr wa sheria, makyembe...
 
Prof Kabudi yupo vzuri.Tunataka viongozi wenye kujua kujenga hoja.Lakini nahisi CCM watambadili atakuwa mnafiki kama Mwakyembe.


Inafurahisha watu wakishindana kwa hoja badala ya kutishana na kutekaña na kupiga marufuku bunge live.
 
He is dam good , Ccm hawezekani kwa kutuletea watu waliowaleya vizuri. Mfano mdogo tuu:
1. Huyu Professor
2 Mhe Luwasa
3. MHE Slaa
4. MHE Warioba
5. MHE Kinana
6. MHE Salim Ahmed Salim
Nk
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Ndugu hao watashinda kwa kiasi kikubwa, kwani wanawajibika vizuri, na Hawabadilizhi GEAR ANGANI.
 
Umemsifia sana lakini naomba nikuulize kwa nini maswali ya nyongeza ya Mh Mulugo amejibu kwa kusoma majibu? Ina maana hata hayo maswali ya nyongeza alishapewa hivyo ni kiini macho
Kajifundishe bunge linavyofanya kazi
 
Mi sijaona alichojibu cha tofaut hadi we mleta uzi kumpa crdt zote hzo...kwel kw dizain hii kuna watakao sifia kinyes kitam
 
Haha..Magufuli anaendelea kuipanga nchi yetu. Natamani Mungu atutunzie rais wetu..anatujali.
 
Prof Kabudi ni mzuri sana kwenye family law na pia Katiba ni mzuri especially baada ya kupata uzoefu kwenye tume ya Katiba ya Rais kikwete ila huyu jamaa huwa ana panic button yake na ni ndogo sana mtamuona tu just exercise patience on his panic button and that will reveal his intelligence!!!! Atakuja kuruka hapo hamtaamini seriosly!!! Wengine tunamstahi sababu ya umri na utaalamu wake tu ila hajatulia hivyo kama mnavyofikiria!!! Anamzidi mate wake dr. Mwakyembe kwenye senile state of mind kwenye hali tete ya kisisasa
 
Back
Top Bottom