Prof. Kabudi afunika bungeni

Prof. Kabudi afunika bungeni

Sugu ameingiaje kwenye hoja yako?Usijali umeonesha UNACHOMAANISHA!Ulimwelewaje Lema aliposema'Upande huu ukiwanyika na upande huu mtaligawa Taifa'?
 
Ameongea vizuri ila bahati Mbaya sijui kama ataweza kudumu kwenye utawala wa JPM,inaonyesha ni mtu mwenye msimamo wake na mawazo yake.Sijui kama atasurvive
Ndilo tatizo kubwa awamu ya 5.
Wanatakiwa watu wa aina ya mwakiwembe wenye njaa na kuitikia ndio mzee
 
Profesa Kabudi ni namba ingine kwenye kitivo cha ufaulu wake WA digrii ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam rekodi yake ya ufaulu haijawahi vunjwa na yeyote toka Tanzania ipate uhuru hadi leo kwa yeyote anayesoma digrii ya sheria. Mwanae pia aliweka rekodi ya ufaulu chuo kikuu cha ardhi ambayo haijawahi vunjwa tokea Tanzania ipate uhuru na haijavunjwa hadi Leo. Huyo huwezi mshindanisha na wapiga yowe na makelele Kama akina Lisu, mbowe, akina lema na Sugu the music rapper.Mwingine mwenye akili kupindukia ni profesa Lipumba alivunja rekodi ya ufaulu kwenye digrii ya uchumi chuo kikuu cha dar es salaam ambayo toka uhuru hadi sasa Hakuna mtanzania aliyevunja rekodi ya Lipumba
Leta ushahidi siyo unapiga mayowe kwenye darasa tulivu
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Badala ya kusibiria faida itakayoletwa na matumizi ya hizo ndege za taifa, wewe unawaza negativity tu. Endeleeni nyoshea ccm vidole wakati vidole vitatu vinawakanya nyinyi.

Wananchi wengine ni gundu tu nchini
 
Profesa Kabudi ni namba ingine kwenye kitivo cha ufaulu wake WA digrii ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam rekodi yake ya ufaulu haijawahi vunjwa na yeyote toka Tanzania ipate uhuru hadi leo kwa yeyote anayesoma digrii ya sheria. Mwanae pia aliweka rekodi ya ufaulu chuo kikuu cha ardhi ambayo haijawahi vunjwa tokea Tanzania ipate uhuru na haijavunjwa hadi Leo. Huyo huwezi mshindanisha na wapiga yowe na makelele Kama akina Lisu, mbowe, akina lema na Sugu the music rapper.Mwingine mwenye akili kupindukia ni profesa Lipumba alivunja rekodi ya ufaulu kwenye digrii ya uchumi chuo kikuu cha dar es salaam ambayo toka uhuru hadi sasa Hakuna mtanzania aliyevunja rekodi ya Lipumba

Mtaishia kusifia wenzenu tu
 
Njaa kitu kibaya, hatari mno.

Ameongea utani na mipasho ya kutetea serikali.

Kifupi kaulizwa kwa nini sheria zilizopendekezwa zibadilishwe na Tume ya 1980 zipo mpaka leo?

Jibu lake, kasema, kwa anavyojua yeye kama profesa wa sheria, na muelewa wa mambo ya legal anthlopology, ni kwamba sheria zinazohusu mambo ya kimila, kiitikadi, kidini, kijima, hazibadilishwi kwa kukurupuka.

Akaendelea kusema, ndio maana mpaka leo kwao yeye Waziri wanakeketa vitoto vya kike, na pia kwao mbunge muuliza swali, ambae ni Mkurya, wanawake zao hawapendeki bila kupigwa. Kwa hiyo sheria hizi inshallah zitakuja kubadilishwa. Ndio maneno ya waziri hayo.

Hapo kwenye jibu hilo kuna weledi gani wa kusifiwa?
 
Tunasubiri 2020 Kitila Mkumbo achukuwe Iramba baraza la mawaziri litakuwa na timu nzuri sana.
 
Hata kama nilikuwa nampenda vipi! Mtu skishsjiunga na genge la maccm namchukia automatically! Naichukia ccm jamani! Kha! Kujihusisha na kitu chochote cha ccm naons km ni kujinajisi!
 
mlugo bado anaendelea kuonyesha ukilaza wake... eti elimu ya lazima ni chekechea mpaka kidato cha nne!!!

Mulugo yupo sahihi. Wewe ndo hufuatilii mambo. Kwa sasa kidato cha nne ni elimu ya lazima na ndo maana serikali inasema inatoa elimu bure hadi kidato cha nne. Jipe muda kufuatilia
 
..mlinganishe Prof.Kabudi na Mzee wa "catalyst".

..uongozi, haswa wa kisiasa, hauhitaji mtu anayewaza kudhalilisha wenzake wakati wote.

..natumaini ustaarabu na utu uzima wa Prof.Kabudi utalisaidia bunge na serikali.

NB.

..pamoja na ustaarabu wa Prof sijapenda alivyofanyia mzaha suala la wanawake kupigwa. Prof akumbuke matamshi yake bungeni yanarekodiwa kwenye hansard.
 
Mulugo yupo sahihi. Wewe ndo hufuatilii mambo. Kwa sasa kidato cha nne ni elimu ya lazima na ndo maana serikali inasema inatoa elimu bure hadi kidato cha nne. Jipe muda kufuatilia
Sasa wale ambao hawachaguliwi watamalizia wapi hiyo elimu ya lazima🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom