mwanaludewa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 764
- 524
Sugu ameingiaje kwenye hoja yako?Usijali umeonesha UNACHOMAANISHA!Ulimwelewaje Lema aliposema'Upande huu ukiwanyika na upande huu mtaligawa Taifa'?
Ndilo tatizo kubwa awamu ya 5.Ameongea vizuri ila bahati Mbaya sijui kama ataweza kudumu kwenye utawala wa JPM,inaonyesha ni mtu mwenye msimamo wake na mawazo yake.Sijui kama atasurvive
Leta ushahidi siyo unapiga mayowe kwenye darasa tulivuProfesa Kabudi ni namba ingine kwenye kitivo cha ufaulu wake WA digrii ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam rekodi yake ya ufaulu haijawahi vunjwa na yeyote toka Tanzania ipate uhuru hadi leo kwa yeyote anayesoma digrii ya sheria. Mwanae pia aliweka rekodi ya ufaulu chuo kikuu cha ardhi ambayo haijawahi vunjwa tokea Tanzania ipate uhuru na haijavunjwa hadi Leo. Huyo huwezi mshindanisha na wapiga yowe na makelele Kama akina Lisu, mbowe, akina lema na Sugu the music rapper.Mwingine mwenye akili kupindukia ni profesa Lipumba alivunja rekodi ya ufaulu kwenye digrii ya uchumi chuo kikuu cha dar es salaam ambayo toka uhuru hadi sasa Hakuna mtanzania aliyevunja rekodi ya Lipumba
Badala ya kusibiria faida itakayoletwa na matumizi ya hizo ndege za taifa, wewe unawaza negativity tu. Endeleeni nyoshea ccm vidole wakati vidole vitatu vinawakanya nyinyi.Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Profesa Kabudi ni namba ingine kwenye kitivo cha ufaulu wake WA digrii ya sheria chuo kikuu cha dar es salaam rekodi yake ya ufaulu haijawahi vunjwa na yeyote toka Tanzania ipate uhuru hadi leo kwa yeyote anayesoma digrii ya sheria. Mwanae pia aliweka rekodi ya ufaulu chuo kikuu cha ardhi ambayo haijawahi vunjwa tokea Tanzania ipate uhuru na haijavunjwa hadi Leo. Huyo huwezi mshindanisha na wapiga yowe na makelele Kama akina Lisu, mbowe, akina lema na Sugu the music rapper.Mwingine mwenye akili kupindukia ni profesa Lipumba alivunja rekodi ya ufaulu kwenye digrii ya uchumi chuo kikuu cha dar es salaam ambayo toka uhuru hadi sasa Hakuna mtanzania aliyevunja rekodi ya Lipumba
Kwa akili zenu za kimbugani Wala hata hamuhitajikiUnatulazimisha tumkubali?
mlugo bado anaendelea kuonyesha ukilaza wake... eti elimu ya lazima ni chekechea mpaka kidato cha nne!!!
Sasa wale ambao hawachaguliwi watamalizia wapi hiyo elimu ya lazima🙂🙂🙂Mulugo yupo sahihi. Wewe ndo hufuatilii mambo. Kwa sasa kidato cha nne ni elimu ya lazima na ndo maana serikali inasema inatoa elimu bure hadi kidato cha nne. Jipe muda kufuatilia