..........sina hakika kama ulichokisema hapa umemaanisha, na kama hivyo ndivyo, jukwaa hili sio saizi yako; pia epuka kutoa hoja kwa ushabiki, ni ushauri tu, hutaki unaacha.
Baada ya Zitto kuaga rasmi Bungeni na kutangaza kujiunga na chama kipya cha ACT-Tanzania, mwachama wa CHADEMA, Mzee Mweisigwa Baregu ameibuka na kumponda Mwanasiasa huyo kijana na machachari kuwa ni hovyo huku akikiri kuwa pamoja na Mama yake ZITTO marehemu Shida Salum(R.I.P) yeye(BAREGU) ndiye aliyekabidhiwa jukumu la kumlea Zitto kisiasa.
Said Kubenea anaandika alichokisema Baregu:
PROFESA Mwesiga Baregu, mmoja wa watu wanaoheshimika nchini amesema, aliyepata kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, anaponzwa na kibuli cha kujiona hakuna zaidi ya yeye. Anandika Saed Kubenea … (endelea).
Amesema, Zitto ambaye alikuwa naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara na naibu kiongozi wa upinzani bungeni, anafanya kazi asiyoifahamu na ambayo haina mavuno.
"Ninamfahamu vizuri. Wakati tuhuma hizi za usaliti zilipoanza kuibuka, Kamati Kuu ilinikabidhi jukumu la kumsaidia mama yake mzazi kumlea kijana huyu."
Kauli ya Baregu ilitolewa siku moja baada ya Zitto kujiondoa bungeni na baadaye kujiunga na Chama cha ACT – Tanzania.
Prof. Baregu aliwahi kuwa "mlezi wa Zitto" ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Alikabidhiwa jukumu hilo na Shida Salum, mama mzazi wa Zitto (marehemu), baada ya mama huyo kuiomba Kamati Kuu (CC) ya chama hicho "kusaidia k
Ikumbukwe kuwa siku chache baada ya Mwanasheria wa CHADEMA, TUNDU ANTIPAS LISSU kutangaza kuwa Zitto siyo mwanachama wa CHADEMA kufuatia hukumu ya Mahakama, Ni MWEISIGWA BAREGU huyuhuyu alisikika kupitia shirika la habari la Ujerumani akisema kuna haja ZTTO na CHAMA chake cha CHADEMA kufikia muafaka kwa vile kuondoka kwake kutakuwa na athari kubwa kwa chama kwa vile ana watu wengi nyuma yake.
Hoja ya msingi hapa ni kuwa huenda U-HOVYO wa ZITTO unatokana na MALEZI ya HOVYO aliyoyapqta kutoka kwa MLEZI WA HOVYO.
BEREGU anapaswa kujitathmini kama anapaswa kupewa nafasi tena siku nyingine kumlea kijana kisiasa.
List aliitoa, sema tu haikupata popularity na watu walii-criticize. Lakini nikukumbushe kitu uone jinsi Chadema ilivyo na double standards; Mbowe si alishawahi kusema ana mkanda wa bomu la Arusha unoonyesha kuwa wahusika ni police? Mbona yeye hajawahi kuutoa?
List aliitoa, sema tu haikupata popularity na watu walii-criticize. Lakini nikukumbushe kitu uone jinsi Chadema ilivyo na double standards; Mbowe si alishawahi kusema ana mkanda wa bomu la Arusha unoonyesha kuwa wahusika ni police? Mbona yeye hajawahi kuutoa?
Unaongelea ule waraka ulioandikwa na Makamba kwa jina la Wangwe?hujiulizi kwa nini muda mfupi baada ya ajali laptop ya Wangwe ilikutwa kwa Makamba?kesi ya Deus Malya ilishaje?tafuta mtu mwenye akili akusaidie kufikiri haya maana ntakuonea bure kwani una ubongo mdogo kama mbegu ya ulezi!
PROFESA Mwesiga Baregu, mmoja wa watu wanaoheshimika nchini amesema, aliyepata kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, anaponzwa na kibuli cha kujiona hakuna zaidi ya yeye.
Amesema, Zitto ambaye alikuwa naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara na naibu kiongozi wa upinzani bungeni, anafanya kazi asiyoifahamu na ambayo haina mavuno.
Ninamfahamu vizuri. Wakati tuhuma hizi za usaliti zilipoanza kuibuka, Kamati Kuu ilinikabidhi jukumu la kumsaidia mama yake mzazi kumlea kijana huyu.
Kauli ya Baregu ilitolewa siku moja baada ya Zitto kujiondoa bungeni na baadaye kujiunga na Chama cha ACT Tanzania.
Prof. Baregu aliwahi kuwa mlezi wa Zitto ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Alikabidhiwa jukumu hilo na Shida Salum, mama mzazi wa Zitto (marehemu), baada ya mama huyo kuiomba Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kusaidia kumlea.
Prof. Baregu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema anasema, Zitto hamnazo. Amekuwa anajiona yeye ni zaidi ya chama. Hashauriki.
Anasema wakati ule alipopewa kazi ya kumlea Zitto katikakati ya migogoro, tulikuwa tunazungumza naye mara kwa mara. Ninamfahamu. Kazi hii ya kumlea tulikabidhiwa mimi na mama yake mzazi, Bi. Shida Salum, anaeleza Baregu.
Mama mzazi wa Zitto, alifariki dunia Juni mwaka jana, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kauli ya Prof. Baregu ilifuatia gazeti hili kutaka maoni yake juu ya mustakabali wa kisiasa wa Zitto baada ya kuwahi kujiondoa ndani ya Chadema.
List aliitoa, sema tu haikupata popularity na watu walii-criticize. Lakini nikukumbushe kitu uone jinsi Chadema ilivyo na double standards; Mbowe si alishawahi kusema ana mkanda wa bomu la Arusha unoonyesha kuwa wahusika ni police? Mbona yeye hajawahi kuutoa?
Hivi unaweza kuwapa mkanda watuhumiwa wa mauaji? kinachomwogopesha Mr dhaifu kuunda tume ya kijaji ni nini kama ccm na policcm hawahusiki? tumia kichwa kufikiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.