manga mseke
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 470
- 90
Prof gani anapelekwa namtu ambae kafeli form six alafu ajitape mbele za watu mm naoana ajutasmin upya kama kweli prof
zitto anajiamini hawezi kukubali kila kitu hasa kinachotoka kwa mjinga
Hivi unaweza kuwapa mkanda watuhumiwa wa mauaji? kinachomwogopesha Mr dhaifu kuunda tume ya kijaji ni nini kama ccm na policcm hawahusiki? tumia kichwa kufikiri
Acha ujinga ww mtowa post na aliesema maneno hayo
Mtumzima utamalea vp ww sumbuwa ubongo wako nawe
utafikiri mwanamke mwenye mimba mlamba ndimu mbona yote usemayo kayasema kizabizabina tuuInasikitisha kuona Profesa mzima nae anaongea kauli za kishabiki na mipasho tu(ana kiburi,anajiona anajua etc),nilitegemea nisikie nilipokabidhiwa Zitto kumlea nilimwambia afanye 1,2,3...,hakufanya akafanya 1,2,3..... we need specifics Prof(Nenda kwa Ibrahim Lipumba akakukumbushe how a prof Talk?)
Ni kweli kabisa.Zitto anasema ugomvi wake na wale wote waliojenga mfumo wa ufisadi na rushwa...kumbe ni wengi mbona wanamshambulia sana.Mti wenye matunda ndio unatupiwa mawe.
PROFESA Mwesiga Baregu, mmoja wa watu wanaoheshimika nchini amesema, aliyepata kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, anaponzwa na kibuli cha kujiona hakuna zaidi ya yeye.
Amesema, Zitto ambaye alikuwa naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara na naibu kiongozi wa upinzani bungeni, anafanya kazi asiyoifahamu na ambayo haina mavuno.
âNinamfahamu vizuri. Wakati tuhuma hizi za usaliti zilipoanza kuibuka, Kamati Kuu ilinikabidhi jukumu la kumsaidia mama yake mzazi kumlea kijana huyu.âKauli ya Baregu ilitolewa siku moja baada ya Zitto kujiondoa bungeni na baadaye kujiunga na Chama cha ACT â Tanzania.
Prof. Baregu aliwahi kuwa âmlezi wa Zittoâ ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Alikabidhiwa jukumu hilo na Shida Salum, mama mzazi wa Zitto (marehemu), baada ya mama huyo kuiomba Kamati Kuu (CC) ya chama hicho âkusaidia kumlea.â
Prof. Baregu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema anasema, âZitto hamnazo. Amekuwa anajiona yeye ni zaidi ya chama. Hashauriki.â
Anasema wakati ule alipopewa kazi ya kumlea Zitto âkatikakati ya migogoro, tulikuwa tunazungumza naye mara kwa mara. Ninamfahamu. Kazi hii ya kumlea tulikabidhiwa mimi na mama yake mzazi, Bi. Shida Salum,â anaeleza Baregu.
Mama mzazi wa Zitto, alifariki dunia Juni mwaka jana, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kauli ya Prof. Baregu ilifuatia gazeti hili kutaka maoni yake juu ya mustakabali wa kisiasa wa Zitto baada ya kuwahi kujiondoa ndani ya Chadema.
Prof gani anapelekwa namtu ambae kafeli form six alafu ajitape mbele za watu mm naoana ajutasmin upya kama kweli prof
Inasikitisha kuona Profesa mzima nae anaongea kauli za kishabiki na mipasho tu(ana kiburi,anajiona anajua etc),nilitegemea nisikie nilipokabidhiwa Zitto kumlea nilimwambia afanye 1,2,3...,hakufanya akafanya 1,2,3..... we need specifics Prof(Nenda kwa Ibrahim Lipumba akakukumbushe how a prof Talk?)