Prof. Baregu: Zitto ni mzigo

Prof. Baregu: Zitto ni mzigo

Cdm walilalamika mda mrefu kuwa zzt anaunda chama ndani chama na hicho chama ni ACT. Zzt alipotoka cdm maramoja alipokelewa na act. Hii inadhihirisha kilichosemwa juu zzt ni kweli na zzt yeye mwenyewe hakupinga lolote
 
We pimbi ndo wakusikitikia,hivi hujui kuwa Mbowe aliyakata majina yalipendekezwa na kuwapachika dada zake na Lissu na vilaza wa aina yake.

Tafuta waraka wa Wangwe ndo ulete tena pua yako hapa.

Halafu uache kuonea huruma wanaume.

Unaongelea ule waraka ulioandikwa na Makamba kwa jina la Wangwe?hujiulizi kwa nini muda mfupi baada ya ajali laptop ya Wangwe ilikutwa kwa Makamba?kesi ya Deus Malya ilishaje?tafuta mtu mwenye akili akusaidie kufikiri haya maana ntakuonea bure kwani una ubongo mdogo kama mbegu ya ulezi!
 
Au mnamaanisha mbwembwe nyingi katika sakata la Escrow huku akijifanya kum-overlook Rais na taasisi ya urais,kumwacha pembeni Beno Ndulu na BOT!Sioni ni wapi watu hawa pakuwaficha kwenye skandali.Unafiki mwingine kwenye posho,kujipamba kuwa hupendi sana posho,at the same time CHADEMA wanapokukosesha posho unawahi mahakamani ili uendelee kupiga posho
 
1. Unafiki ni
miongoni mwa
maradhi ya moyo
ya hatari
yanayokemewa
sana katika
Uislamu. [Al-
Maaidah 5: 52, Al-
Anfaal 8: 49, Al-
Hajj 22: 53].
2. Sifa tatu hizo ni
sifa mashuhuri
miongoni mwa sifa
za wanafiki. [An-
Nisaa 4: 143, Al-
Baqarah 2: 8-15]
Lakini hizo sio
zote
zinazowahusu, bali
wanazo sifa
mbaya zaidi ya
hizo.
3. Mwenye kuwa na
sifa zote tatu hizo
ajitambue kuwa ni
mnafiki.
4. Kukimbilia
kujirekebisha pindi
Muislamu
anapotambua
kuwa ana sifa
mojawapo kabla
ya kumiliki sifa
zote tatu.
5. Uislamu unafunza
sifa njema za
ukweli, kutimiza
ahadi na uaminifu.
[An-Nisaa 4: 58,
An-Nahl 16: 91].
Nazo ni miongoni
mwa sifa za
watakaopata Pepo
ya Al-Firdaws [Al-
Muuminuwn 23:
8]. Na pia:
ﻭَﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﻫُﻢْ ﻟِﺄَﻣَﺎﻧَﺎﺗِﻬِﻢْ
ﻭَﻋَﻬْﺪِﻫِﻢْ ﺭَﺍﻋُﻮﻥَ
Na ambao
amana zao
na ahadi zao
wanazichunga
(kuzitimiza)
[3]
6. Mtu anaweza
kudhaniya kuwa ni
Muislamu wa
kweli kwa sababu
ya utekelezaji
wake wa ‘Ibaadah,
kumbe ni mnafiki.
 
Au mnamaanisha mbwembwe nyingi katika sakata la Escrow huku akijifanya kum-overlook Rais na taasisi ya urais,kumwacha pembeni Beno Ndulu na BOT!Sioni ni wapi watu hawa pakuwaficha kwenye skandali.Unafiki mwingine kwenye posho,kujipamba kuwa hupendi sana posho,at the same time CHADEMA wanapokukosesha posho unawahi mahakamani ili uendelee kupiga posho
Ukianzisha mada inayomhusu Zitto huwa watu wanalipwa ama? Naona kilamtu anakuja na upuuzi tu hapa.
 
The
WAACHE NDEGE WAPITE JUU YA KICHWA CHAKO WAONDOKE ZAO USIKUBALI WAJENGE KIOTA JUU YA KICHWA CHAKO MAANA WALIMWENGU NA MUNGU WATAKULAUMU SANA NA KUKUÖNA MBAYA KAMA NDUMILA KUWILI.
WEWE UKITUHUMIWA KUTENDA USALITI AU UOVU WAKATI UNATAKA KUUTENDA AU UMEUTENDA ACHA NA UJUE HILO NI ONYO LAKIN UKAJA UKATENDA YALE UNAYOTUHUMIWA NA YAKBAINIKA HATA KWA FIKRA NA MACHO HAKIKA HUTAWAPONA WALIMWENGU NA MUNGU KWANI WATASEMA MMEÖANA TULIYOSEMA NA NA KUMTUHUM? BAADA YA HAPO KAMA HUKUOMBA MSAMAHA KWA KUAMINI UNAAKILI NYINGI LAANA ITAKUTAFUNA NA UIMARA WAKO UTAKWISHA NA KUITWA DHAIFU,LIMBUKENI,MLAFI wA MADARAKA,MSALITI,NDUMILAKUWILI . Asante



Ndio nini hii? Mbona kila mtu ktk hili suala la zitto anatoa Unabii wake? Why everyOne is trying to tell/show how Zitto was supposed to behave?

Let him be, him. Becouse that's how he is...
 
Au mnamaanisha mbwembwe nyingi katika sakata la Escrow huku akijifanya kum-overlook Rais na taasisi ya urais,kumwacha pembeni Beno Ndulu na BOT!Sioni ni wapi watu hawa pakuwaficha kwenye skandali.Unafiki mwingine kwenye posho,kujipamba kuwa hupendi sana posho,at the same time CHADEMA wanapokukosesha posho unawahi mahakamani ili uendelee kupiga posho
Mkuu King Kinya, kwanza karibu jf!.
ZZK is the past now!, mwacheni apumzike akijenge chama chake!.

Kuna watu humu, mkijinyamazia, mtu hawezi kuwajua mu wajinga kiasi gani!, ile ni pale mnapofungua hayo mabakuli yenu kuanza kumwaga pumba ndipo watu tunajua kumbe ni madebe matupu!.

Kwenye Escrow, Ndullu was out tena akaweke vizuri kabisa kimaandishi kabla!, sasa kosa lake ni lipi?!. JK unataka kumuingizia wapi?!. Kama ni ule urongo wa hisa za Simba, then hata ikiwa kweli, the age of majority kwa Tanzania ni 18 years, na operational age ni 21, hivyo JK has nothing to do na any over 21 years of his!.

Kwenye posho, wewe utakuwa ndio mjinga wa kupindukia!, kama unadhani Zitto alikimbilia mahakamani ili aendelee kupiga posho!, aendelee kupiga posho gani wakati hachukui posho yoyote!.

Pasco
 
mkuu umeamka na mning'inio wa ziada nini.?najua ujatoa lock na kiroba asubuhi hii ndo mana unakurupuka na kumwaga pumba.
 
Back
Top Bottom