Hata Muarobaini unamatunda lakini umeshawahi muona nani akiurushia Mawe!?
Hivi M2 ni nani?Baregu naye ni miongoni mwa wazee mizigo kabisa akili zake zimenyonyoka kama nywele zake.
Kiongozi acha kumshambulia Baregu. Kwan una uhakika gani kama kayaongea yeye au maneno ya uchonganishi? Kazi ya vijana wa ufipa ya uzushi umeisahau?
Chanzo cha habari hamna. Na video kaweka ya zito kujiuzulu. Hayo maneno Baregu kayaongelea wapi?
Nadhani we anakulaza bila nguo kabisa,but anyhow ni haki yako kikatiba.hili neno hili #ZITTO litawalaza macho wazi
teh teh, hongereni, labda jinias wa usaliti. Kautia aibu mkoa mzima wa kigoma.Nasisi wanakigoma tunaamini kuwa zitto ni Genius
Kazi ya kuhakikisha ukweli wa habari ni ya Moderators mkuu na kama hujui habari nyingi wamezitoa jioni hii ikiwa pamoja ni ile ya"January amjibu tena Lowasa"
Lakini hii habari ipo jamvini toka saa tisa mchana inaelea bila source na wameiacha tu so what do you expect?
Halafu unategemea hao maprofesa waliokubali kulamba viatu vya form 6 failure wanaweza kutoa maoni tofauti na ya kwenye bandiko la jamaa?
Acha tuwaambie ukweli.
Zitto ni mzito sanaa elimu yake inamsaidia kwendea choon. Hana family Hana mama nan amshauri? Mzito sana huyu kinyongaaa
teh teh, hongereni, labda jinias wa usaliti. Kautia aibu mkoa mzima wa kigoma.
Jinga wewe,hujui kuwa aliyepewa kazi ya kudivice formular ya kuteuwa wabunge wa viti maalum ni Prof Kitila Mkumbo?
Huyu binadamu ni wa kuhurumiwa tu,wakati mwingine post zao zinatusaidia kujua uwezo wao wa kufikiri hivyo tunapata kibali cha kuwapuuza!
Hata Muarobaini unamatunda lakini umeshawahi muona nani akiurushia Mawe!?
haa haa safari hii wafuasi wa zitto mtakoma! Maana huyo bwana wenu habebeki hata huko act , asipoangalia atatimuliwa na limbu fasta.Huyu mzee atakuwa Profesa wa mizizi na sio kufikiria, ukiwa Counselor wa mtu hutakiwi kutoa siri zake, kidogo tu kaanza kuropoka, zero kabisa naanza kumdharau. Ukiwa mleI haimaanishi kumchunguza mtu ili ukaseme magazetini. Zero kabisa na ndio maana anaongozwa na form four failure bila kujijua
PROFESA Mwesiga Baregu, mmoja wa watu wanaoheshimika nchini amesema, aliyepata kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, anaponzwa na kibuli cha kujiona hakuna zaidi ya yeye.
Amesema, Zitto ambaye alikuwa naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara na naibu kiongozi wa upinzani bungeni, anafanya kazi asiyoifahamu na ambayo haina mavuno.
Ninamfahamu vizuri. Wakati tuhuma hizi za usaliti zilipoanza kuibuka, Kamati Kuu ilinikabidhi jukumu la kumsaidia mama yake mzazi kumlea kijana huyu.Kauli ya Baregu ilitolewa siku moja baada ya Zitto kujiondoa bungeni na baadaye kujiunga na Chama cha ACT Tanzania.
Prof. Baregu aliwahi kuwa mlezi wa Zitto ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Alikabidhiwa jukumu hilo na Shida Salum, mama mzazi wa Zitto (marehemu), baada ya mama huyo kuiomba Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kusaidia kumlea.
Prof. Baregu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema anasema, Zitto hamnazo. Amekuwa anajiona yeye ni zaidi ya chama. Hashauriki.
Anasema wakati ule alipopewa kazi ya kumlea Zitto katikakati ya migogoro, tulikuwa tunazungumza naye mara kwa mara. Ninamfahamu. Kazi hii ya kumlea tulikabidhiwa mimi na mama yake mzazi, Bi. Shida Salum, anaeleza Baregu.
Mama mzazi wa Zitto, alifariki dunia Juni mwaka jana, baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kauli ya Prof. Baregu ilifuatia gazeti hili kutaka maoni yake juu ya mustakabali wa kisiasa wa Zitto baada ya kuwahi kujiondoa ndani ya Chadema.