BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,349
Hapa nadhani Baregu kaamua kutua mzigo maana kwa alivyokuwa anamtetea zitto, Sasa ameuona rangi zote za huyu dogo.
NENDA ZITTO MAJIVUNO NA UBINAFSI VIMEKUPONZA.
kWA MIMI BINFSI wanasiasa toka mkoa wa kigoma siwaamini sana kwa hata Dr Walid Aman Kaborou alikuja na mbwembwe sana zaidi ya zito na vijana wa kigoma walimuunga mkono wakidhani ni mkombozi wa kweli kumbe ni mchumia tumbo matokeo yake wengine walipoteza maisha na wengine kufungwa na wengine ni walemavu kwa vipigo vya polisi kutokana na maandamano na kuchoma matairi barabarani wakimuunga mkono Mwenyekiti wao wa chadema lakini Dr. Amani Walid Kaborou kwa sasa ndiye Mwenyekiti wa CCM mkoa wa kigoma kwa hilo tu nadiriki kusema mwanasiasa bora hatoki kigoma au kama walivyosema wayahudi kitu chema hakitoki Nazereth. Kwa wale wazuri kama Buyogela na wengineo nawaomba wanisamehe ila wamefukiwa undumila kuwili wa Zito na Dr.Walid Amani Kaborou