Prof Assad: Utawala wa Magufuli haukuwa na Nia njema na taifa letu

Asad na type ya wanakosoa kila kitu cha mwendezake ni Njaa kali wanazo , huyu mzee inaonesha anataka kuridi kwenye regime ya mama tena kwa top position, Tunamshauri mama aendelee kumuacha nje ya ulingo wa kisiasa
Kwani lini Assad alikuwa ndani ya ulingo wa siasa?
Kuwa mtumishi serikalini na kuwa mwanasiasa ni vitu viwili tofauti.
 
Km watu wa conection wanaweza inunua serikali sembuse vimedia hivi vya uchoroni ? wala magu hakua ni maraika kwamba hawezi ibiwa ndo mn kuna wkt aliongea wezi bado wapo tena ripot yenyewe ni late ndogo sn km milion 100 za wasafi nk je utalinganisha na mikataba ya iptl , dowan , richmond , meremeta nk? acheni kushabikia watu wenye visas vyao
 
Akifanya vema kura zetu ni zake. Na ameshaanza kwa kututia matumaini.!
 
Awamu ya kwanza wakati taifa likitegemea kahawa na katani walitoa elimu bure hadi chuo kikuu na zaidi wanafunzi waligawiwa daftari na kalamu na nauli za kwenda shule za mbali zilitolewa na serikali. Katika vyuo licha ya elimu bure wanafunzi walilipwa fedha kwa ajili ya matumizi madogo madogo. Rudi usome yaliyofanywa huko nyuma. Usisifie usichokijua. Hiyo ni mifano michache tu nimekupatia kwa sasa.!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…