mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,417
- 8,401
Na washukuru tumemwambia atulie kidogo asitangaze hasara nyingine.Sasa hivi siwatukani MATAGA...CIG anawatosha.
Na washukuru tumemwambia atulie kidogo asitangaze hasara nyingine.Sasa hivi siwatukani MATAGA...CIG anawatosha.
Safi sana ndugu umeongea kwa lugha nzuri ili mazezeta hawa waelewe kuwa Magu kafanya mengi sana ya kutukuka na hata wafanye vipi kumchafua, mema aliyolifanyia taifa letu yatawapinga🤔! Na badala yake wataonekana kuwa wendawazimu!Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Sana kwa kweliHuenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Punguza sauti unaposema Prof. ana kinyongo maana kikundi fulani hawataki kusikia ukweli huu. Prof.Huenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Mwache mzee wa watu atoe sumuIla Assad alikuwa wapi kusema haya,mbona inakuwa ni kama kumnanga maiti
Huenda wewe ndo taahiraKu screen shot mawazo ya mataahira ukatuletea hapa unaonekana kabisa na wewe ni mojawapo ya mataahira.
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Wewe ulikuwa wapi pindi MAGUFULI alikuwa raisIla Assad alikuwa wapi kusema haya,mbona inakuwa ni kama kumnanga maiti
Nenda kafuate ushauri was kibajaji na msukumuKuliko kufuata ushauri wa profesa wa Tanzania ni bora ukafuate ushauri wa darasa la saba Kishimba utafanikiwa.
Maprofesa muda wote ni theory tu, sasa watu hawali theory
Acha ujinga, wakati Magufuli yupo alisema wakamfukuzaHuyo proff anaj.amba jamba tu...
ilitakiwa aongee wakati Magu yupo.....ajibiwe
aache unafiki
Acha upumbavuAcha ujinga, wakati Magufuli yupo alisema wakamfukuza
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Panapomstahili ni Mahali pema peponi.Mwendazake alikua ni mshipa kwa nchi hii. Alazwe panapomstahili
Huyu jamaa ana hasira na Magufuli kwasababu alimpiga chini.Wanatema nyongo ,baada ya kuzibwa mdomo ..
Hakuna asiye na mapungufu mkuu.Acheni asemwe !!. Kwani jua halitatoka kesho kwa sababu Maghufuli amesemwa mapungufu yake ?!. Jiwe lingeruhusu uhuru wa habari wala usingemuona wa kumfikiria ushujaa. Toka siku ya kwanza madhaifu yake yangelikuwa wazi. Sasa ilikuwa OLE WAKO useme. Na kwa aliethubutu magazine nzima alimiminiwa mwilini . Huyo Acha asemwe
Odhis *
Mmhh!!!,sio Kweli.NASHAURI WAACHANE NA KUSAIGNI MKTABA WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA UGANDA KWANI MIRADI YOTE YA MAGUFURI HAIKUWA NA NIA NJEMA KWA NCHI
Mm nadhni Kama taifa tumalize mirad mingine Kama sgr na bwawa ambao imechukuwa pesa mingi pia baada haya ApA ndippo sas tuanze kujenga kwa pesa zetu hzo goddown za bandari kama tuliweza kujenga wenyewe bwawa la nyerere kwa trillion 6 Zaid kwann tushindwe hayo magodown ya bagamoyoUnajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ngege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliuwe shirika la ndege ili kukwepa madeni mburura kabisa huyu, dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi popoma kabisa huyu huoni ndani ya 5 tumeingua uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kumbwa huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao! Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mty anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake kwa ufinyu wa ajili yake Assad eti anataka bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa disi hatuwezi kujenga wenyewe! Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa lizee lizima linalikosa hata hekima tu ya kizee linakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe...hivi huyo Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu ni finyu sana, na kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari disi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni! Shame on you Assad!
Nimegundua unamtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata haustahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu ambapo upuuzi wote huongelewa hapo!
Ww unaakili mara 1000 ya prof uchwara Assad!Mm nadhni Kama taifa tumalize mirad mingine Kama sgr na bwawa ambao imechukuwa pesa mingi pia baada haya ApA ndippo sas tuanze kujenga kwa pesa zetu hzo goddown za bandari kama tuliweza kujenga wenyewe bwawa la nyerere kwa trillion 6 Zaid kwann tushindwe hayo magodown ya bagamoyo
Acha tu bwan Hero tunataka kupasa sauti zetu lkn wapi hatusikilizwi. Kuliko kupoteza muda na wachina Ni Bora tumalize angalu bwaawa alfu tujikite huko huko na Kama pesa azitoshi ndipo sas tunaweza kukopa angalau half of it au 30 % ili kupunguza risk za heavyl burden mbeleniWw unaakili mara 1000 ya prof uchwara Assad!
Ili jiwe "lim-tundu lissu" kwa risasi kibao🙄Huyo proff anaj.amba jamba tu...
ilitakiwa aongee wakati Magu yupo.....ajibiwe
aache unafiki