Prof Assad: Utawala wa Magufuli haukuwa na Nia njema na taifa letu

Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
Safi sana ndugu umeongea kwa lugha nzuri ili mazezeta hawa waelewe kuwa Magu kafanya mengi sana ya kutukuka na hata wafanye vipi kumchafua, mema aliyolifanyia taifa letu yatawapinga🤔! Na badala yake wataonekana kuwa wendawazimu!
 
Huenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Punguza sauti unaposema Prof. ana kinyongo maana kikundi fulani hawataki kusikia ukweli huu. Prof.
 
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha

Brother usipanic sana, ni vyema ukajikita kujadili hoja ili mwisho wa siku majibu yapatikane....

unamkumbuka CAG Ludovic Utoh enzi za JK kabla ya Assad....unambuka namna alivyokuwa akiibua madudu awamu ya nne?.. mbona hakukuwa na shida...

Unafikiri kosa la CAG ni nini?....unahisi hiyo report anayosoma ni fake?...
Unakumbuka yaliyomsibu Assad awamu ya tano baada ya kuonyesha madudu mbalimbalu ikiwemo upotevu wa 1.5tril?....mpaka akaliita bunge dhaifu, unakumbuka pia akina Ndugai walivyomshukui..?... Unajua kama Assad alishawahi kutekwa na kelele za wananchi na akina ZZK zilimuokoa?...
 
Ila Assad alikuwa wapi kusema haya,mbona inakuwa ni kama kumnanga maiti
Wewe ulikuwa wapi pindi MAGUFULI alikuwa rais

Ina maana hukumjua Assad kipindi kile aliyoyafanya na kusema

Unajua Ni kipi kilichomtoa kwenye hio nafasi kinyume na katiba.

Ina maana huzijua Tabia za kishamba za MAGUFULI za kidikteta uchwara .

Punguza ufala amka usingizi

Aliwananga wenzie enzi zake ukijaribu kupinga Kuna matatu utapewa kesi isiyo na dhamana ,ufukuzwe kazi au uishie mochwari na watu hawakujitetea

Sasa Ni zamu yake kupewa za uso kwa bahati mbaya hawezi jitetea tutasema uovu wake wote ili vizazi vimjue kuwa alikuwa rais wa hovyo kutokea Tanzania .

Usituzibe mdomo tuache tuseme
 
Kuliko kufuata ushauri wa profesa wa Tanzania ni bora ukafuate ushauri wa darasa la saba Kishimba utafanikiwa.


Maprofesa muda wote ni theory tu, sasa watu hawali theory
Nenda kafuate ushauri was kibajaji na msukumu

Fala sana
 
Acheni asemwe !!. Kwani jua halitatoka kesho kwa sababu Maghufuli amesemwa mapungufu yake ?!. Jiwe lingeruhusu uhuru wa habari wala usingemuona wa kumfikiria ushujaa. Toka siku ya kwanza madhaifu yake yangelikuwa wazi. Sasa ilikuwa OLE WAKO useme. Na kwa aliethubutu magazine nzima alimiminiwa mwilini . Huyo Acha asemwe

Odhis *
Hakuna asiye na mapungufu mkuu.
 
Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ngege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliuwe shirika la ndege ili kukwepa madeni mburura kabisa huyu, dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi popoma kabisa huyu huoni ndani ya 5 tumeingua uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kumbwa huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao! Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mty anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake kwa ufinyu wa ajili yake Assad eti anataka bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa disi hatuwezi kujenga wenyewe! Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa lizee lizima linalikosa hata hekima tu ya kizee linakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe...hivi huyo Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu ni finyu sana, na kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari disi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni! Shame on you Assad!
Nimegundua unamtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata haustahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu ambapo upuuzi wote huongelewa hapo!
Mm nadhni Kama taifa tumalize mirad mingine Kama sgr na bwawa ambao imechukuwa pesa mingi pia baada haya ApA ndippo sas tuanze kujenga kwa pesa zetu hzo goddown za bandari kama tuliweza kujenga wenyewe bwawa la nyerere kwa trillion 6 Zaid kwann tushindwe hayo magodown ya bagamoyo
 
Mm nadhni Kama taifa tumalize mirad mingine Kama sgr na bwawa ambao imechukuwa pesa mingi pia baada haya ApA ndippo sas tuanze kujenga kwa pesa zetu hzo goddown za bandari kama tuliweza kujenga wenyewe bwawa la nyerere kwa trillion 6 Zaid kwann tushindwe hayo magodown ya bagamoyo
Ww unaakili mara 1000 ya prof uchwara Assad!
 
Ww unaakili mara 1000 ya prof uchwara Assad!
Acha tu bwan Hero tunataka kupasa sauti zetu lkn wapi hatusikilizwi. Kuliko kupoteza muda na wachina Ni Bora tumalize angalu bwaawa alfu tujikite huko huko na Kama pesa azitoshi ndipo sas tunaweza kukopa angalau half of it au 30 % ili kupunguza risk za heavyl burden mbeleni
 
Back
Top Bottom