Prof Assad: Viongozi wetu wamefanana na Hadith ya Babu Paka ambaye alijifanya ni Mwema kumbe ni Ulaghai wa kuwatafuna Panya Kimya Kimya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,994
CAG mstaafu Prof Assad amewafananisha Viongozi wa sasa na ile hadith ya Babu Paka ambaye alijifanya ni Mwema kumbe ni Ulaghai wa kuwatafuna Panya Kimya Kimya Mmoja baada ya mwingine

Assad anasema Babu Paka alitengeneza Tasbihi kubwa iliyopambwa na vichwa bandia Vya samaki akawa anaichezea chezea mikononi Panya walipomuona wakaamini Babu Paka amekuwa Mwema hali hata samaki

Kumbe Nyuma ya pazia babu Paka alikuwa anakamata Panya Mmoja baada ya mwingine na " kuwatafuna"

Assad ametahadharisha Kuwa Wananchi wanaona kila kinachoendelea na Huko mbele nchi hii hapatatosha

Source: The Chanzo

Dongo gizani
 
CAG mstaafu Prof Assad amewafananisha Viongozi wa sasa na ile hadith ya Babu Paka ambaye alijifanya ni Mwema kumbe ni Ulaghai wa kuwatafuna Panya Kimya Kimya Mmoja baada ya mwingine

Assad ametahadharisha Kuwa Wananchi wanaona kila kinachoendelea na Huko mbele nchi hii hapatatosha

Source: The Chanzo
Ni wasiwasi wake tuu, Watanzania ni watu poa sana, hata uwafanye nini, wao ni "ndio tuu" na "asante", na kila baada ya miaka 5, ni "unachukua, unaweka, waa", kile kile chetu...

Hakuna hata wakati mmoja hapatatosha!, siku zote panatosha, na hata ikitokea zisitoshe kwasababu yoyote, kama ilivyotokea 2015, na itatokea tena 2025, "zisipotosha, zinatosheshwa!".

Tunao print vile vikaratasi ni sisi!
Tunao hesabu ni sisi!
Tunao jumlisha ni sisi!
Na tunaotangaza matokeo ni sisi!.
"zisipotosha, zinatosheshwa!".
P
 
CAG mstaafu Prof Assad amewafananisha Viongozi wa sasa na ile hadith ya Babu Paka ambaye alijifanya ni Mwema kumbe ni Ulaghai wa kuwatafuna Panya Kimya Kimya Mmoja baada ya mwingine

Assad anasema Babu Paka alitengeneza Tasbihi kubwa iliyopambwa na vichwa bandia Vya samaki akawa anaichezea chezea mikononi Panya walipomuona wakaamini Babu Paka amekuwa Mwema hali hata samaki

Kumbe Nyuma ya pazia babu Paka alikuwa anakamata Panya Mmoja baada ya mwingine na " kuwatafuna"

Assad ametahadharisha Kuwa Wananchi wanaona kila kinachoendelea na Huko mbele nchi hii hapatatosha

Source: The Chanzo

Dongo gizani
Duh ! Babu paka !!
Tuliwatahadharisha tangu awamu ya tatu mpaka na awamu ya nne kwamba tuendako siko kabisa !
Wakatuona sisi ni maadui tu !
Sasa kila mtu anaimba wimbo wa Ufisadi UfisadiUfisadi !!
Walituchukia na kutudhalilisha !
Sasa kiko wapi ??!
Maji yamezidi unga !!
 
Mungu zidi kuibariki inchi yangu
Viongozi wake na watu wake

Kila Kilicho kinyume na nchi yangu na viongozi wa serikali, Mungu kiharibu na kukitupilia mbali

Amen
 
CAG mstaafu Prof Assad amewafananisha Viongozi wa sasa na ile hadith ya Babu Paka ambaye alijifanya ni Mwema kumbe ni Ulaghai wa kuwatafuna Panya Kimya Kimya Mmoja baada ya mwingine

Assad anasema Babu Paka alitengeneza Tasbihi kubwa iliyopambwa na vichwa bandia Vya samaki akawa anaichezea chezea mikononi Panya walipomuona wakaamini Babu Paka amekuwa Mwema hali hata samaki

Kumbe Nyuma ya pazia babu Paka alikuwa anakamata Panya Mmoja baada ya mwingine na " kuwatafuna"

Assad ametahadharisha Kuwa Wananchi wanaona kila kinachoendelea na Huko mbele nchi hii hapatatosha

Source: The Chanzo

Dongo gizani
hadithi ya mchongo.... haina maantiki yaaani tasbih iwe na vichwa vya samaki then panya waamini kuwa oaka amekuwa mwema hali hata samaki.... mbona haina logic. sasa kama amekuwa mwema hali hata samaki vile vichwa kwenye tasbih ni vya nini? hai make sense.yaani mchawi atengeneze nyumba yake vizuri kisha aweke mapambo ya mafuvu ya watoto ....awaalike mwende mkafurahi kuwa sasa ameacha kula nyama za watoto na mnaona amepamba nyumba yake kwa vichwa vya watoto? prof ana msongo wa mawazo. inamuuma mama hajamkumbuka kwenye teuzi......
 
hadithi ya mchongo.... haina maantiki yaaani tasbih iwe na vichwa vya samaki then panya waamini kuwa oaka amekuwa mwema hali hata samaki.... mbona haina logic. sasa kama amekuwa mwema hali hata samaki vile vichwa kwenye tasbih ni vya nini? hai make sense.yaani mchawi atengeneze nyumba yake vizuri kisha aweke mapambo ya mafuvu ya watoto ....awaalike mwende mkafurahi kuwa sasa ameacha kula nyama za watoto na mnaona amepamba nyumba yake kwa vichwa vya watoto? prof ana msongo wa mawazo. inamuuma mama hajamkumbuka kwenye teuzi......
Elimu Yako ulianzia Chekechea au Memkwa?

Samahani lakini
 
Ni wasiwasi wake tuu, Watanzania ni watu poa sana, hata uwafanye nini, wao ni "ndio tuu" na "asante", na kila baada ya miaka 5, ni "unachukua, unaweka, waa", kile kile chetu...

Hakuna hata wakati mmoja hapatatosha!, siku zote panatosha, na hata ikitokea zisitoshe kwasababu yoyote, kama ilivyotokea 2015, na itatokea tena 2025, "zisipotosha, zinatosheshwa!".

Tunao print vile vikaratasi ni sisi!
Tunao hesabu ni sisi!
Tunao jumlisha ni sisi!
Na tunaotangaza matokeo ni sisi!.
"zisipotosha, zinatosheshwa!".
P
Sema hii comment ina ujazo sana

Juzi nakutana na mjumbe mmoja nkamuuliza vp kuna fulsa gani uko,
Mjumbe; 2024 fulsa kibao, tujipange kwa hizo fulsa
Mimi kimoyomoyo; vijana tunapoteza mda kuwaza fulsa za mara moja ka baada ya miaka mi5
 
Sema hii comment ina ujazo sana

Juzi nakutana na mjumbe mmoja nkamuuliza vp kuna fulsa gani uko,
Mjumbe; 2024 fulsa kibao, tujipange kwa hizo fulsa
Mimi kimoyomoyo; vijana tunapoteza mda kuwaza fulsa za mara moja ka baada ya miaka mi5
Kawe kuna mashindano ya Rede na Kombolela

Fursa
 
Ni wasiwasi wake tuu, Watanzania ni watu poa sana, hata uwafanye nini, wao ni "ndio tuu" na "asante", na kila baada ya miaka 5, ni "unachukua, unaweka, waa", kile kile chetu...

Hakuna hata wakati mmoja hapatatosha!, siku zote panatosha, na hata ikitokea zisitoshe kwasababu yoyote, kama ilivyotokea 2015, na itatokea tena 2025, "zisipotosha, zinatosheshwa!".

Tunao print vile vikaratasi ni sisi!
Tunao hesabu ni sisi!
Tunao jumlisha ni sisi!
Na tunaotangaza matokeo ni sisi!.
"zisipotosha, zinatosheshwa!".
P
Hakika on point!
 
Back
Top Bottom