johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Mbunge wa zamani wa Muleba Prof Tibaijuka amesema Zoezi la kuvunja Madanguro lina nia Njema lakini Mazoezi haya huko nyuma hayakufanikiwa JIBU ni Wateja Wawezeshwe Ili Waoe
Wengi hawaoi kwa sababu kipato ni kidogo na hivyo Wanawake wanabaki kushindania Wanaume, amesisitiza Prof
Prof Tibaijuka ameandika kwenye Ukurasa wake wa X
Jumaa Mubarak 😀🔥
Wengi hawaoi kwa sababu kipato ni kidogo na hivyo Wanawake wanabaki kushindania Wanaume, amesisitiza Prof
Prof Tibaijuka ameandika kwenye Ukurasa wake wa X
Jumaa Mubarak 😀🔥