Tusi liko wapi hapo?Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri
Nilishasema zamani sana kuwa ile ni biashara kichaa. Itatula mpaka tuseme pooohHata kama hana acc ila aliongea kwenye mkutano leo na kasema ATCL inabidi ifutwe kabisa na midege iuzwe yote.
Labda mazingira yalikuwa yanatengenezwa ili akivuta tuseme ni upepo kama kwa wengine.Tokea MwendaZake aende naye, kumepungua kabisa TANZIA za viongozi kuvuta.
Au nasema uongo ndugu yangu.
Jaman wasukuma ni mishambaa ya kutupwa, japo watani zangu,ila hapana wamedhidi kwakweli!!!!Ilikuwa ushamba sababu jamaa alikuwa hajui kuiba kwa akili, pia alizoea kuwa kama papaa so unajua ndugu zetu wa huko kidogo mambo ya mjini na ujanja umewapita kushoto ? No wonder alikuwa anatembea na fuko la hela kila anapoenda na kugawa kama kina papaa Msofe
Bora zile ndege ziuzwe tu hata kwa bei ya hasara au kukodishwa kwa watu wengine, Tz kuendelea kuzimiliki ni hasara tupu. Magufuli alikuwa anataka kuifirisi nchi kwa manunuzi ya ajabu na miradi yenye hasara tupu.Twende tu ula ifafika wakati tutaanza kuukizia zile ndege zetu alizotuachia Magufuli zote zimeuzwa na mafisadi. Hapo ndo tutataka kujua kati ya Mshamba na ao wenyewe elimu kubwa waliostarabika nani alikuwa na Maarifa?
Hii nchi inawatu wagumu Sana kuelewa.Umeelewa hapo?Ni mtu kaandika hiyo tweet kisha akaweka na clip ya Prof.Assad.Nimejaribu kui-copy imenigomea/sijafanikiwa.
Huyo Marehemu wenu nae alitukana mrehemu wa wenzie.Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri
Anajaribu kufanya SpinningNani kasema Ana account ?
Tusi alilotukanwa ni lipi hapo?Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri
Na ndio Rais aliekaa muda mfupi zaidi madarakani wakati wafuasi wake waliotaka akae milele.Mwendazake ana historia ya kuwa one of the most corrupt politician in Tanzania ndiyo maana akanunua ndege kwa cash. Miradi yote mikubwa alianzisha kwa msukumo wa kupata RUSHWA na siyo maendeleo.
Magufuli hajawahi anzisha kitu kikafanikiwa. Angalia!
-Meli ya samaki ys Thailand
- Speed boat ya Bahamoyo
- Kituo cha UDART Jangwani
- Korosho Mtwara
Huyo jamaa Ni Spin DoctorSasa mtu mjinga kuitwa kuwa ni mjinga ametukanwa?Unaelewa maana ya kutukanwa?Kutukanwa ni pale ambapo mtu mwerevu anapoitwa mjinga lakini mtu akifanya ujinga halafu akaitwa ni mjinga hajatukanwa.
Kwa hiyo haruhusiwi kutoa maoni yake?Assad bado ana hasira za kutimuliwa u-CAG!
Ulionawapi marehemu anakufaSomo:
Wenye mamlaka/madaraka, tumieni vizuri mamlaka mliokabidhiwa ili mnapotangulua mbele za haki, msiwaache ndugu na jamaa zenu na maumivu mara mbili: kufiwa na Marehemu kusemwa vibaya.