Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,079
Hilo neno Ushamba umesema wewe, unamlisha maneno, usifikir hatujamsikia
Prof yup sahihi ni wajinga tu ndo watampigaAssad Hana account twitter, hiyo itakuwa parody
Wewe unafanya nini kwenye hili jukwaa!?Hasira za ku timwa docs za manunuzi
Ilikuwa ushamba sababu jamaa alikuwa hajui kuiba kwa akili, pia alizoea kuwa kama papaa so unajua ndugu zetu wa huko kidogo mambo ya mjini na ujanja umewapita kushoto ? No wonder alikuwa anatembea na fuko la hela kila anapoenda na kugawa kama kina papaa MsofeKauli hii ya kizalendo imetolewa na Profesa Musa Assad alipokuwa akiongea kwenye kongamano la chuo kikuu cha Kiislam Morogoro .
"Kwenye miradi hii ya muda mrefu mikopo ni sahihi , cash ina kazi yake na mikopo ina sehemu yake "
Nini maoni yako kwenye hil
Pole mkuuHilo neno Ushamba umesema wewe, unamlisha maneno, usifikir hatujamsikia
Sasa kama cash ipo kwa nini tusilipe taslimu..
Asad nae aliamini atafia ofisini kumbe kwa mbaali watu wanampimia tu na walipoona anunda kamhimili kake pale ofisini wakamkata shingo mapema tu. Sasa hivi hana kichwa.Kauli hii ya kizalendo imetolewa na Profesa Musa Assad alipokuwa akiongea kwenye kongamano la chuo kikuu cha Kiislam Morogoro .
"Kwenye miradi hii ya muda mrefu mikopo ni sahihi , cash ina kazi yake na mikopo ina sehemu yake "
Nini maoni yako kwenye hili ?
Mbona profesa hajasema hayo unayosema? Sijaona neno ushamba. Acheni upumbavu kusingizia watu.Kauli hii ya kizalendo imetolewa na Profesa Musa Assad alipokuwa akiongea kwenye kongamano la chuo kikuu cha Kiislam Morogoro .
"Kwenye miradi hii ya muda mrefu mikopo ni sahihi , cash ina kazi yake na mikopo ina sehemu yake "
Nini maoni yako kwenye hili ?
Sasa kama cash ipo kwa nini tusilipe taslimu..
Uchumi level ya nchi sisawa na levo ya familia uelewe,kuna utaalamu wa kiuchumi na hesabu zake kifaida pale unapoingia kwenye big businesses!! Ndege sio bodaboda ulipe cash!! Anayo pesa mbona kunawatoto wanasoma wamekaa chini? Mbona deni lataifa limeongezeka? Msidanganyike kwa maneno ya siasa za kijinga.Sasa kama cash ipo kwa nini tusilipe taslimu..
Rubbish.Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
#VIDEO: Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
#CAGReportTz #NondoZaAssad #TutaelewanaTu.
View attachment 1748930
Sasa mtu mjinga kuitwa kuwa ni mjinga ametukanwa?Unaelewa maana ya kutukanwa? Kutukanwa ni pale ambapo mtu mwerevu anapoitwa mjinga lakini mtu akifanya ujinga halafu akaitwa ni mjinga hajatukanwa.Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri