sanje
JF-Expert Member
- May 12, 2018
- 458
- 340
Professor assad aliongea mengi sana . trillion 1.5 umesahau? Na alisema bunge lihoji iko wapiUgali mtamu, walikuwa 'wameufyata'.
Professor assad aliongea mengi sana . trillion 1.5 umesahau? Na alisema bunge lihoji iko wapiUgali mtamu, walikuwa 'wameufyata'.
Hawanunui kwa Cash. Pia wanaanza na mambo ya muhimu kwanza , siyo kutafuta prestige.Wanaoimudu wao wanafanyaje??
Are you a standard four failure?mbona unashindwa kuelewa mambo wewe.Huyu Prof. ni bookish. JPM ni practitioner. Kwenye vitabu utaambiwa hata nyumba hajengwi kwa cash, lakini wengi wamejenga. RIP JPM.
Mkuu ni utani, au ndiyo Unamaanisha na uko siriazSasa kama cash ipo kwa nini tusilipe taslimu..
Utani na nn? Ukweli ndio huo..Mkuu ni utani, au ndiyo Unamaanisha na uko siriaz
Unajua nini Mungu akubariki..
Mungu akubarikiAkili kama hizi ni matope
Trilioni 1.5 ni namba ya Zitto tu; yeye mwenyewe Assad hakuisema; in fact kwa miaka mitano yote ya Assad ripoti zake zilikuwa ni 95% na zaidi clean.Professor assad aliongea mengi sana . trillion 1.5 umesahau? Na alisema bunge lihoji iko wapi
Hizi concepts za bookish na practitioners ni ngumu kuzielewa kama huna uwezo wa kuchanganua mambo kwa kutumia uwezo wako binafsi.Are you a standard four failure?mbona unashindwa kuelewa mambo wewe.
Prof. anashindwa kujua kama kuna toafauti kati ya airline na plane (ndege)!!!! Hivi kunauwezekano kweli wa kununua airline hata kwa mkopo? Nijuajo airline uingia ubia, mfano, KQ na KLM.Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
Hivi unafikiri Assad ukimpa Nchi ndo hakutokuwa na watu wanapiga hizo hela chini? Unafikiri ndo ataweka mikataba wazi? Unafikiri atafanya nini ili kuifikia ata China mnayosema mlikuwa sawa kwenye miaka 60?
Leo mnatamani kuzifikia China kiuchumi..!! Utaweza wewe mlalamishi kufunga mikanda kama waliyofunga China mpaka wakafikia maendeleo ayo? Au unadhani EROUPE imejengajwe? Au America imejengajwe? Kaa chini tuliza tako we unaendhani wenzetu walijenga nchi zao kwa kidai mishahara sijui na upupu wenu mnaona una faida kwa sana kuliko kuzijenga nchi zao.
MJINGA MWNEYWE aASIYE NA HAYA WAKLA UTU KUMSEMA MTU HATA KABLA YA AROBAINI AISHIE HUKO. huwadanganya watanzania , ripoti kablka hata haijapatiwa majibu imekwishajadiliwa. Mtu wa kawaida Bilioni moja anaiona kubwa sana ndio maana VChenge aliwaambia vijisenti tu mnababaika navyo. He can go to hell!Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..."
Simba wa YudaWacha watu watapike watakavyo dhidi ya mwendazake, kwa kuwa alivyokuwa hai watu hawakuthubutu kuyatamka hayo kutokana na jamaa alivyokuwa mlipaji visasi kwa yeyote anayeonekana anampinga kutokana na jinsi anavyoiendesha nchi yetu shaghala baghala
Kwani marehemu kaondoka na serikali?Kwanini anamtukana merehemu.. Elimu bado haija msaidia kutumia lugha nzuri.