Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

asee hizi issue hazina formula. mimi binafsi hua natumia dakika 30-40 kupiga bao la kwanza haijalishi hata kama nimesex juzi au miezi mitatu iliyopita. tena nikikaa muda mrefu bila sex bas sku nikisex natumia hadi dakika 50 bao la kwanza. sijawahi kufikisha bao tatu kwa sabab hata nikipampu bao la tatu unatoka upepo tu. kwa hyo hatufanani mzee.
Inawezekana umeathirika na punyeto kiasi kwamba msisimko umepungua kwa mtu mwenye Afya nzuri asipofanya mapenzi muda mrefu na asifanye michezo michafu ya punyeto ni lazima atamwaga mapema maana sexual arousal inakua juu.

Kwahiyo acha punyeto.
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
1. Kama unapiga puli acha.

2. Ukishaacha puli achana na mademu kwa muda wa miezi kadhaa huku ukiwekeza kwenye mazoezi ya mwili hasa kukimbia.

3. Pata mlo wa kutosha na uliokamilika (sio unakula wali au chips kavu na soda).

4. Pata muda wa kutosha wa kulala.

5. Mwisho, kuna mdau ameshauri hapo juu kuhusu kegel, nayo zingatia baada ya kuzingatia point hizo 4 hapo juu.

NB; baada ya kujipa likizo ya mademu/mapenzi kwa miezi kadhaa siku ukirudi acha pupa na usichukulie issue serious.
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
Zoezo gani unapiga

Piga kegel miezi 6 ulete mrejesho hapa
Acha punyeto acha kuangalia porn
 
Wanaune wote tupo hivo hivo, kwa hiyo upo salama usiogope mpuuzi wewe.
NRNE
ni kweli wanaume wote tupo hivyo, hasa unapokutana na kitu kipya na chenye shepu tofauti, fasta goli la kwanza huishia nje kabla ya kuchomeka msumari na kuishia kuaibika kuwa huna nguvu. Goli la pili kulipata huchukua dakika nyingi kutoka na huo muda hupewi, mbususu inakuwa imechoka
 
ni kweli wanaume wote tupo hivyo, hasa unapokutana na kitu kipya na chenye shepu tofauti, fasta goli la kwanza huishia nje kabla ya kuchomeka msumari na kuishia kuaibika kuwa huna nguvu. Goli la pili kulipata huchukua dakika nyingi kutoka na huo muda hupewi, mbususu inakuwa imechoka
Wewe una akili
 
Back
Top Bottom