Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Binadamu tunajichosha bure, mie huwa huwa nimekubaliana na hali yangu, nusu takooo wazungu haoo.. maisha yasonga 😅😅
200.gif

Hiyo siyo kawaida 🤣
 
Shida ya Hali kama hii, we mwenyewe unakua na wasiwasi na woga Yani hujiamini we mwenyewe ko unakuta ata akili pale haipo... Unaweza sjui Leo wazungu watakuja baada ya daika ngapi? Ko daika 2 Tu wazungu haooo 💦
daaah yani hata kwa bahati mbaya naperuzi mtandao wa x (zamani twitter) nikakutana na connection ya Giggy money lazima nimwage mkuu changamoto sielewi nn
 
Kama hujaoa na kupiga mzigo ni mara moja moja kwa manati unatoboa miezi hata miwili hujalamba kitu lazima libido activation iwe juu sana hata demu akikukumbatia unaweza kupiga bao hiyo ni kawaida siyo ugonjwa.

Ila kama kila siku unapiga mzigo alafu bado hilo tatizo lipo hapo kweli ni ugonjwa mzee hauko sawa
 
Unahisi mahali gani hapako Sawa? Hormone au nini? Tofauti na kuhangaikia tatizo Kwa jitihada binafsi umesha jaribu kushirikisha wadau wa afya?
sijawai kwenda kucheck hospital ila kiukweli kama ni mazoezi sjui ya kegel squart najitahid sana kufanya na hata uume upo imara ila hapo kwenye pre mature ejaculation ndio bado cahangamoto mkuu
 
Kama hujaoa na kupiga mzigo ni mara moja moja kwa manati unatoboa miezi hata miwili hujalamba kitu lazima libido activation iwe juu sana hata demu akikukumbatia unaweza kupiga bao hiyo ni kawaida siyo ugonjwa.

Ila kama kila siku unapiga mzigo alafu bado hilo tatizo lipo hapo kweli ni ugonjwa mzee hauko sawa
mzee ngoja nije PM kwako
 
Dawa ni hivi tumia kila siku Tangawizi uchanganye na karafu chemsha unywe kama chai asubuhi na jioni.
Hakikisha hata kama huna tangawizi tumia karafu yenyewe Maana ni dawa inasaidia kuondoa Uoga na hofu sii tu kwenye mapenzi hata kwenye maisha ya kawaida ya kila siku.
Ishu ya Mwisho tafuta Mwanamke uishinae kila siku yaani wa pika pakua for the first time itakuwa shida lakini utaanza kuzoea kidogo kidogo na hofu itashuka utaanza kupiga show nzuri tu.
Lakini ukikomalia hao mademu wa kuwapakia kama kikuu anakuja na kuondoka au wa kuokota barabarani tatizo hilo litaendlelea kukusumbua
 
Hii mambo huwa naonaga kama ni mind game. Kuna siku nilipiga cha kwanza fresh, round ya pili chuma imelala haisimami. Mmmh wife akawa anacheka tu akanambia, relax ulale kesho nayo siku. Daaah nikawa na mawazo kisenge nikadhani kuna kamchepuko kameniroga. Kesho yake tena mashine haisimami. I thought it was the end, nikaachaga kuwa na wasiwasi, nakakaa kama siku 4 hivi. Ikawa weekend moja hv, niliweka hadi akasema nimepaka mkongo, na speed ikarudi mule mule.
 
Back
Top Bottom