Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Pre-mature ejaculation inanitesa wakuu naombeni ushauri wenu

Wapo wenye hizo changamoto, hisia zao zinakua juu sana na wanakua anxious, hata achukue msichana wa level gani bado shida iko pale pale, ni kisaikolojia zaidi.
Yeah , haya mambo sijui kibamia sijui nguvu za kiume ni drama tu , kama mtu anao uwezo wa kuzalisha hana tatizo la nguvu za kiume.
 
Squats siyo kegel mkuu!

Mazoezi ya Kegel unabana misuli yako ya uume na kuachia, ingia youtube uangalie.

Zingatia ushauri wa kukaa na mwanamke kwa muda mrefu na hakikisha ni mtu ambaye anakujali kihisia ili asije akakuza tatizo jingine la kisaikolojia kwa kukubeza au kukuvunja moyo.
nitaja kufata PM kupa mrejesho mkuu nikiwa sawa sitaki nije niachwe ka ulivyo mwacha jamaa wako 😂
shukran sana Binti wa zamani
 
wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.

hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.

naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha

yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa

tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.

asanteni sana.
Njoo pm nikuuzie mkongo
 
Hapana
Acheni kumdanganya mwenzenu
Mpaka ameleta kisa hapa ujue amejichunguza
Sio kawaida eti ye kila siku anaishia mapajani hata joto joto hajapata ye tayari kashusha engine, kweli?

Cc min -me
kweli kabsa mkuu nina changamoto ndio maana nimeleta huu uzi basi wengine wanaishia kukejeli
 
Back
Top Bottom