Ushauri jitahidi kushiriki tendo mara Kwa mara utazoea.. na kujiamini.wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.
hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.
naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha
yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa
tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.
asanteni sana.
nishaacha mkuuUongo nao ni tatizo, hakuna mtu anaanza na kuacha kizembe, zambi inatabia ya kujiludia, utasikia shetani anakunong'oneza sikioni "Mmh! Mwanangu ile kitu ni tamu kweli, hebu ludia tena mala moja tu upate laha mzee na usiludie tena, dadeki kesho utaludia na keshokutwa hadi siku unajifia'...
Sasa miaka 21 hata asipochapa kabisa mbona kawaidaKwahiyo hujawahi kuichapa unaishiaga tu kuzishika shika na kumwaga?
Pole sana jaribu kwenda hospital ukaonane na madaktari bingwa nimeona pia umeshauriwa ufanye mazoezi jitahidi kuzingatia hayo
nije na hela zanini ?Kwa ufumbuzi wa tatizo lako nicheck PM ila usije na hela za maandazi
mazoezi nishafanya sana mpka nimepata na six pack 😃😃😃Pole sana jaribu kwenda hospital ukaonane na madaktari bingwa nimeona pia umeshauriwa ufanye mazoezi jitahidi kuzingatia hayo
Pole watu tunapiga mzigo adi anauliza wewe bado tu jomoni😁 anyway ushawahi piga nyeto before tena ile ya kiooo??wakuu natumai hamjambo wote.
Daaah hii ishakuwa hatari mpka naishiwa pawa kuhusu hilo swala la pre-mature ejaculation hali inazidi kuwa mbaya .
kama ni zoezi na piga sio haba lakini wapi hali ni ile ile wakati wa romance tu tayari nishatuwa mzigo aisee🥲.
hii hali inanisikitisha sana hata sioni umuhimu wa kukutana na demu maana utaishia kudhalilika tu umeloanisha suruli si aibu hizi wakuu.
naombeni ushauri wenu wakuu ninusurike na hii fedheha
yani unakuwa unaishia tu kula kwa macho aiseee hii kitu inanikata balaa
tafadhali naombeni ushauri wenu na kwa yeyote aliiwahi pitia changamoto kama yangu naomba anaipe mwongozo uliwezaje kukabiliana nayo.
asanteni sana.
Jitahidi na hayo ya kutembea kilometres 8 per day na kegel exercisesmazoezi nishafanya sana mpka nimepata na six pack 😃😃😃
shukran mkuu nitafanyia kazi ushauri wakoUshauri jitahidi kushiriki tendo mara Kwa mara utazoea.. na kujiamini.
Kinachokufanya kuwa hivyo ni kuchukulia tendo with high attention Kwa hiyo msisimko unakuwa juu sana.
Pia jitahidi kurelax uwapo tendoni.
Binafsi wakati nilipokuwa mdogo na naanza huo mchezo nilikuwa nashida kama Yako hakuna kilichomaliza hiyo hali kama ushauri niliokupa.
Kwa hiyo wakikuambia hivyo ndio unajiaminisha umeichapa kinouma bwashee?😅Pole watu tunapiga mzigo adi anauliza wewe bado tu jomoni😁 anyway ushawahi piga nyeto before tena ile ya kiooo??
Anayo haki ya kufurahia hilo tendo kashapevukaSasa miaka 21 hata asipochapa kabisa mbona kawaida
yakioo ndiyo ipoje mkuuPole watu tunapiga mzigo adi anauliza wewe bado tu jomoni😁 anyway ushawahi piga nyeto before tena ile ya kiooo??
Sijasema hana haki , na maanisha kwa umri wake hata kama hajawahi kushiriki sio kitu cha kushangaza.Anayo haki ya kufurahia hilo tendo kashapevuka
Bado mtoto hajawahi danganywa na kurumbembeKwa hiyo wakikuambia hivyo ndio unajiaminisha umeichapa kinouma bwashee?😅
Hii code siwapi ila inafahamika sanayakioo ndiyo ipoje mkuu
Atafutwe dokta hapa sasaHivi kama pre mature ejaculation yake imesababishwa na kemikali kama serotonin kuwa chini , kegel inaweza saidia?
😅😅 kweli nimeonaBado mtoto hajawahi danganywa na kurumbembe
Youtube ipo nenda kachunguliekwani mkuu kegel inakuaje hasa kubana mkojo pekee au kuna mengine
Asee huu ugomvi siamulii🤣Kama una kitambi ni tatizo jingine bwashee