immortanity
JF-Expert Member
- Nov 8, 2024
- 859
- 1,591
- Thread starter
- #181
kwani mkuu kegel inakuaje hasa kubana mkojo pekee au kuna mengineZoezo gani unapiga
Piga kegel miezi 6 ulete mrejesho hapa
Acha punyeto acha kuangalia porn
kwani mkuu kegel inakuaje hasa kubana mkojo pekee au kuna mengineZoezo gani unapiga
Piga kegel miezi 6 ulete mrejesho hapa
Acha punyeto acha kuangalia porn
nilishaacha bwana Mjusi SharobaloFunguka wazi kwamba UNAJICHUKULIA SHERIA MKONONI tujue wazi jinsi ya kukusaidia, siyo unazunguka tu kama Max Mzee wa Kiringe anapiga chenga mabeki wa Simba atupie shuti wavuni...
kwani mkuu kegel inakuaje hasa kubana mkojo pekee au kuna mengine
Lipia tangazoMimi miaka hiyo nikiwa kwenye 19 hiv nilikua napiga bao4 kwa kuunganisha bila kuchomoa, kwenye 20's hapo nikawa napiga mbili bila kuchomoa, kwasasa napiga moja tuu la dakika 30, nguvu bado zipo sijafika 35, ila kama siku nikiwa na mood nikinywa na dompo napiga hata lisaa na sikojoi
Kama una kitambi ni tatizo jingine bwasheenilishaacha bwana Mjusi Sharobalo
hayapa naona hayanisaidii mkuu
Ngoja wataalamu watakuelekeza menginehayapa naona hayanisaidii mkuu
kitambi cha wapi bwashee uzoto enyewe nazo 60kg afu bwashee ndio nipo 21yrsKama una kitambi ni tatizo jingine bwashee
Duh pole sana maana yake umezaliwa 2004 , nenda hospital umweleze mtaalamu wa afya bila kuficha atakupatie usaidizi huenda ni tatizo la hormonekitambi cha wapi bwashee uzoto enyewe nazo 60kg afu bwashee ndio nipo 21yrs
nimepiga punyeto 2014-2019.Inawezekana umeathirika na punyeto kiasi kwamba msisimko umepungua kwa mtu mwenye Afya nzuri asipofanya mapenzi muda mrefu na asifanye michezo michafu ya punyeto ni lazima atamwaga mapema maana sexual arousal inakua juu.
Kwahiyo acha punyeto.
daaah inanikata sana hii hali mkuu nahisi ni kweli kutakuwa na shida kwenye mfumo wa hormone sana sana iyo uliyoisema serotoninDuh pole sana maana yake umezaliwa 2004 , nenda hospital umweleze mtaalamu wa afya bila kuficha atakupatie usaidizi huenda ni tatizo la hormone
Uongo nao ni tatizo, hakuna mtu anaanza na kuacha kizembe, zambi inatabia ya kujiludia, utasikia shetani anakunong'oneza sikioni "Mmh! Mwanangu ile kitu ni tamu kweli, hebu ludia tena mala moja tu upate laha mzee na usiludie tena, dadeki kesho utaludia na keshokutwa hadi siku unajifia'...nilishaacha bwana Mjusi Sharobalo
asikwambia mtu hii hali so powa mkuu inakata kishenzi day changamoto hii ikiisha daaah nitakuwa na amani kinomaDuniani kuna magonjwa mengi sana aisee! Nashukuru Mungu napiga mpini safi. Pole sana mzee, hit the gym man.
yeahp waifu materialKwahiyo hujawahi kuichapa unaishiaga tu kuzishika shika na kumwaga?