After loosing ma mumy 2012
ma gmother 2013
leo tena ma dady amekutwa na cancer
mungu tuokoe na haya majaribu
popote ulipo tusiache kuombeana cc kwa sisi
Mungu akupe amani na upendo katika kipindi hiki!!!!
Akupe uwezo wa kuayakabili haya mkuu Pdidy na wengine wakuzungukao!!!
Na amjaalie mzazi wetu huyu afya iliyo njema leo na hata siku za usoni kwani hakuna tumtegemeaye isipokuwa yeye muumba mbingu,ardhi na sisi viumbe wake!!!
Aamin
After loosing ma mumy 2012
ma gmother 2013
leo tena ma dady amekutwa na cancer
mungu tuokoe na haya majaribu
popote ulipo tusiache kuombeana cc kwa sisi
Hao wengine walifariki kwa same disease?After loosing ma mumy 2012
ma gmother 2013
leo tena ma dady amekutwa na cancer
mungu tuokoe na haya majaribu
popote ulipo tusiache kuombeana cc kwa sisi