Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,822
pole aisee.Mungu yupo nanyi...!
*******
*******
Pole sana, hayo ni majaribu ya Mungu lakini usikate tamaa maana Mungu haachi kutoa njia ya faraja.After loosing ma mumy 2012
ma gmother 2013
leo tena ma dady amekutwa na cancer
mungu tuokoe na haya majaribu
popote ulipo tusiache kuombeana cc kwa sisi
Pole sana mkuu. Tunamwombea katika jina la Yesu aliye hai amemponya. Mungu ni Mwaminifu na Mwema kwetu anatupigania.After loosing ma mumy 2012
ma gmother 2013
leo tena ma dady amekutwa na cancer
mungu tuokoe na haya majaribu
popote ulipo tusiache kuombeana cc kwa sisi