PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

Status
Not open for further replies.
Mungu awatangulie wote mliobahatika kuchaguliwa tena kwa mara hii ya pili. Mzidi muomba awasimamie tena kwa hii ya pili. ila kwa bahati mbaya sijatumiwa msg kwa hii ya pili ila Namshukuru Mungu hata kwa experience Niliyopata kwa mara ya kwanza.

Amen.Jambo la muhimu ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo
 
ww muongo acha kuwapa taarifa watu uongo,nani kakwambia wameshotlist watu 40?mm niko huku ppf nyie jiandaeni ni oral interview na kila mtu ktk postion yake aliyeomba kuna majopo ma8,ndani ya saa moja watu walioitwa ktk interview ya postion yako lazima wamalizwe

Oral ifanyike hapo elimu ya watu wazima na sio HQ jamani. Mbona inakuwaga pale HQ samora jamani. Tusilishane matango hapa watu tukavunja kabati mwisho wa siku ikawa chenga..
 
Oral ifanyike hapo elimu ya watu wazima na sio HQ jamani. Mbona inakuwaga pale HQ samora jamani. Tusilishane matango hapa watu tukavunja kabati mwisho wa siku ikawa chenga..

Sema wewe kaka
 
Let's hope the best, tusikatishane tamaa wooote twendeni tujiandae kioral na kiwritten, venue ni karibu na maktaba ya taifa oposite na Upanga nursery
 
Mungu ni mwema jamani..sisi tujipange kivyovyote kama ni oral au written.

Jengo la elimu ya watu wazima kama unatokea posta ukifika pale kwenye makutano ya maktaba kuu/sophia house pinda kushoto km unaelekea chuo cha CBE. Hio venue hiko mbele kidogo tu unapoimaliza maktaba kuu haufiki ht CBE kwenyewe.

Yoyote atakayepata fununu ya maswali jamani atujuze.
 
tatizo hawa ppf hawatoi shortlist wala marks tunaweza jikuta nyomi tena lingine
 
Tumekupata mkuu kila mtu katumiwa itakuwa yale yale ya DUCE wameona paper ilikua rahisi sana,sasa wanatafuta vigezo vya kupunguza watu.
Ni kweli watu wote tu wameitwaa mi mshikaji wangu first interview hakufanya ila kaitwa tena for 2nd interview.......Kwaiyo jamaa wanafanya michezo tu
 
jaman ppf wameanza kutuma message za oral.
Sio meseji za Oral,wameita wotee tu mi mshikaji wangu aliitwaga First interview ila hakuudhuria ila this time 2nd interview katumiwa meseji kuwa ahudhurie 2nd interview trhe 27/06 Taasis ya Elimu ya watu wazima kwaiyo hamna kitu hapo ni wooooote tu kama kuna aliok o mkoani atulie tu asikilizie chance zingine izi hapa jamaa wanafanya michezo
 
humu ndani watu wengine wanawatia presha wenzao tu .....mtu hana data anaropoka tu
 
humu ndani watu wengine wanawatia presha wenzao tu .....mtu hana data anaropoka tu

Kiukweli tulioitwa kwenye hyo interview ya pili ni wengi na huo ndiyo ukweli ww endelea kubisha tu mana mpka sasa nina jamaa zangu wapo 8 karibu wote wameitwa,kikubwa hapa ni kwenda kupambana tu wakuu
 
Sio meseji za Oral,wameita wotee tu mi mshikaji wangu aliitwaga First interview ila hakuudhuria ila this time 2nd interview katumiwa meseji kuwa ahudhurie 2nd interview trhe 27/06 Taasis ya Elimu ya watu wazima kwaiyo hamna kitu hapo ni wooooote tu kama kuna aliok o mkoani atulie tu asikilizie chance zingine izi hapa jamaa wanafanya michezo

Mkuu hapo umeongea point kabisa,hta mim nina jamaa yangu yupo pale TIA mara ya kwanza hakuitwa ila akaja tu pale DUCE na akapiga paper ila kaitwa kwa interview ya pili tena,ukweli watu wameitwa wengi sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom