Posho na Mishahara ya wabunge...

Posho na Mishahara ya wabunge...

maandamano kwa sasa ndio njia pekee ya kuzibua masikio ya wakubwa,kwani wewe hufahamu juu ya hilo ,mbona bei ya sukari ilishushwa hadi 1700,ina maana hujui kwa nini,mbona yule mbunge wa cuf na wenzake kule Tabora waliachiwa baada ya kusiki maandamano yaja?Yaliyotokea MISRI, huyajui?kumbuka mil 90 ni mkopo kwa wabunge na sio posho.
 
Posho za vikao kama zikitumika vizuri zaweza kuwabana wabunge na kupunguza ukachaji wa vikao..............tatizo hakuna mwenye nia ya kuwabana wabunge na kuimarisha mahudhurio Bungeni................................ukizifuta CCM itaongeza mishahara kwa sababu wanadai milioni 2.5 kwa mwezi haitoshi kabisa...........na wataongeza kasi ya kuwaongezea ulaji katika teuzi kwenye taasisi za umma ili kuziba mashimo..............................hakuna majibu mepesi inapokuja kwa ccm na mlo....................
 
Jamani hii sio fair. Huu ni wizi kabisa. Kama kamati ya mrema ya serikali za mitaa inataka kuonekana inafanya kazi ianze na baraza hili la madiwani!! Hii inanikumbusha baraza la madiwani kigoma waliwahi kufanya kikao chao mtwara "ili na wao wapate nafasi ya kulitembelea daraja la mkapa"

[TABLE="width: 99%, align: left"]
[TR]
[TD="class: Headline"]Madiwani Dar wapata semina elekezi Morogoro
Imeandikwa na Eline Shaidi, Morogoro; Tarehe: 15th June 2011 @ 21:45 Imesomwa na watu: 14; Jumla ya maoni: 0


[/TD]
[/TR]
[TABLE="align: right"]
[TR]
[TD][TR]
[TD][TABLE="width: 98%, align: right"]
[TR]
[TD="class: kaziBody"]Habari Zaidi:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Marquee"]Madiwani Dar wapata semina elekezi Morogoro
Mwanafunzi aliyepigwa risasi apewa mil. 1/-
TANAPA yakusanya milioni 73/- za faini
'Msauzi' akiri kukutwa na bangi, afungwa miaka 3
Umoja wa Mataifa waifagilia Tanzania
'Vipuuzeni vyama vinavyochochea chuki'
Waziri- Wazazi msiwanyanyase watoto
Lushoto waanza mipango ya kuvuna maji ya mvua
Walimu 104 wafunzwa kuinua kiwango cha ufaulu
Dk. Shein aelezea mikakati ya kuimarisha kilimo
RC ' awakoromea' wataalamu wa kilimo
Arusha watumia Sh milioni 95 kujenga daraja
Aliyejingua pacha 4 afikisha watoto saba
Bunge-Tanesco isizalishe umeme
Wapinzani wataka wenye nyumba walipe kodi
Bajeti ya Zanzibar kusomwa leo
'Maandamano hayawezi kumaliza shida UDOM'
Wananchi waua watuhumiwa 3 wa ujambazi
Mokiwa: Sijatenda dhambi, njooni mnikamate Kikwete kuhutubia mkutano wa ILO
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[TABLE="width: 98%, align: right"]
[TR]
[TD="class: kaziBody"]Habari zinazosomwa zaidi:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Marquee"]Balaa lingine kwa Chenge
Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
‘Housigeli’ anataka kuniharibia ndoa
Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
Vatican yamvua jimbo Askofu
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
MADIWANI wa Jiji la Dar es Salaam wamejichimbia mjini Morogoro kujinoa kuhusu utawala chini ya wakufunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma.

Akifungua mafunzo hayo juzi, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Mwambungu aliwataka madiwani kuacha jazba wakati wa kujibu hoja za wananchi kuhusu utekelezaji wa ahadi walizotoa katika kipindi cha kampeni.

Mwambungu alisema, baadhi ya madiwani wasiowajibika ipasavyo kwa wananchi, wamekuwa na kauli zisizoridhisha wakati wananchi wanapowahoji juu ya utekelezaji wa ahadi walizotoa katika kampeni.

“Kazi za uongozi tulizoomba zinaambatana na haki ya kuulizwa, kuhojiwa, kutakiwa kutoa ufafanuzi kwa wananchi wetu tunaowaongoza ikiwa ni pamoja na mamlaka zilizo juu yetu kuhusu kazi tunazozifanya kila siku na tija inayotokana na kazi hiyo,” alifafanua.

Mwambungu amewataka madiwani hao kuwajibika kikamilifu katika kutekeleza na kusimamia miradi ya halmashauri yenye lengo la kuwasaidia wananchi na kuacha kulumbana na watendaji wa halmashauri hali ambayo imekuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya wananchi.

Awali Meya wa Jiji la Dar es Salaam Dk. Didas Masaburi alisema lengo la mafunzo hayo ni kuwapatia madiwani hao elimu ya utawala ili wafanye kazi za kuisimamia halmashauri kwa ufanisi.

“Lengo hapa ni kuondoa umbumbu na kufanya kazi vizuri katika halmashauri zetu, ili ziwe na maendeleo, maana tunaambiwa kuwa madiwani hatujasoma,” alisema.

Alisema, madiwani hao watapatiwa mafunzo ya usimamizi wa fedha za umma, ununuzi pamoja na maadili ili washirikiane na watendaji wa halmashauri bila ya kukwaruzana.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Text"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Text"][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: kaziBody, align: right"] [/TD]
[TD="class: kaziBody"] [/TD]
[TD="class: kaziBody, align: left"] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Jamani si kila kitu ni ufisadi. Inawezekana madiwani walikuwa na sababu za msingi za kuipeleka hii semina yao Morogoro mojawapo ya sababu ni kuwa mbali na familia zao ili waweze kujikita kwenye semina yenyewe badala kuhudhurua semina huku wakiashughulikia pia masuala ya familia na biashara zao. I might be wrong, lakini inawekana walikuwa na sababu za msingi.

Tiba
 
Mtaandamana kila siku mpaka mfe, kibano pale pale.

Hamuwajui CCM nyie kumb
e!!!
Inamaana wanachokifanya ccm juu yetu sisi walala hoi we unakifurahia? du kweli ss wtz tumepoteza mwelekeo unashabikia tambia chafu za ccm za kukandamiza wananchi kweli unasikitisha sana ndugu. Alafu ukifuatilia kwa ukaribu hata wewe ni among ya wale wanaonyanyasika na utawala wa ccm muangalie bibi yako kijijini kwenu, shangazi yako then ndo uendelee na ushabiki wako. Cdm ni wakombozi wa ukweli tutaandamana mpaka ccm waachie nchi wenyewe
 
Posho za vikao kama zikitumika vizuri zaweza kuwabana wabunge na kupunguza ukachaji wa vikao..............tatizo hakuna mwenye nia ya kuwabana wabunge na kuimarisha mahudhurio Bungeni................................ukizifuta CCM itaongeza mishahara kwa sababu wanadai milioni 2.5 kwa mwezi haitoshi kabisa...........na wataongeza kasi ya kuwaongezea ulaji katika teuzi kwenye taasisi za umma ili kuziba mashimo..............................hakuna majibu mepesi inapokuja kwa ccm na mlo....................

Mkuu hii ya posho ikipita huko kwenye taasisi za umma tutawafukuza kwa kuwa mbunge hasitahili kuwa mjumbe wa bodi ya shirika/taasisi ya umma kwa kuwa yeye anatakiwa kuiwajibisha management/bodi/serikali (oversight role). CAG amepiga kelele kuhusu hili lakini serikali haisikii. Kanuni za Good Governance hazitaki wabunge kuwa kwenye bodi za taasisi za umma.
 
Hapa kwenye kifungu cha posho za vikao lazima kukomalia, wanachofanya ni wajibu na wanalipwa mishahara kwa ajili ya kazi zao, iweje tena walipwe posho za vikao wakati ni majukumu ya kazi yao. Wizi huu haukubaliki kamwe.

Uko sahihi kabisa serikalini kila kazi wanataka posho wakati ni majukumu yao na ni hao hao wakikaa kwenye vikao wanatoa maamuzi mabovu, hizo posho isiwe kwa wabunge tu nafikiri secta zote za serikalini
 
Hoja ya kuondolewa posho kwa wafanyakazi wa Umma bila kutoa mapendekezo ya namna ya kuwalipa mishahara itakayokidhi haja kunaweza kutuletea usumbufu na mahangaiko makubwa. Hivi tu wanapewa hizo posho moyo wa kufanya kazi hawana hivi hizo posho zikiondolewa hali itakuwaje? Chadema wana wazo zuri ila naona kama lina nia ya kuwakomoa wafanyakazi wa umma hasa wa kipato cha chini ambo hizo posho ndiyo tegemeo lao. Vinginevyo ile migomo inayofanywa na wafanyakazi wa umma na kudhoofisha serikali itatua rasmi Tanzania.
 
Hivi Rwanda ya Kagame wanafanya vipi kuhusu issue ya posho kwa wanasiasa?
 
kwa mujibu wa kanuni hizo hapo kuna tatizo kubwa ambalo linatakiwa zirekebishwe haraka maana zinatoa loop holes nyingi sana kwa wabunge kutohudhuria vikao. vikao vitatu ni vingi sana,hakuna dharura ya namna hiyo hata ktk idara zingine za serikali unless kuwepo na justifications kwa cases very special like illness etc na sio kukacha bila sababu,kwa nini wabunge wapewe upendeleo as if wao ni tofauti na wafanyakazi wengine? na kwa kukosa kuhudhuria vikao hivyo vitatu mfululizo,uwakilishi wa wale waliomchagua upoje? pia,kanuni zinaelekeza adhabu gani kwa atakae acha kuhudhuria vikao hivyo?

Ni kweli kabisa ulichosema. Msingi wa kazi ya mbunge ni bungeni. Kanunu zinatakiwa kuwabana waheshimiwa wabunge ili watimize wajibu wao na wasoweza kuwatumikia wananchi wajiengue.

Suala la sitting allowances za wabunge limewagusa watu wengi sana. Kama suala ni posho ya kujikimu au mishahara kuwa midogo kukidhi mahitaji ya waheshimiwa wabunge ni heri mishahara au posho vikaongezwa kuliko kuendelea kupokea sitting allowances bila sababu. Izingatiwe kwamba wabunge hawawi bungeni kila siku bali katika misimu maalumu lakini mishahara inaingia kila mwezi. Ukiondoa kuhudhuria bungeni na vikao mbali mabli vya kamati za bunge, wabunge hawana kazi nyingine maalumu makususi ambayo itawawajibisha kila siku wawe ofisini. Ndio maana yawezekana kwa mbunge wa Kasulu kama mh. Mbowe au mh Blandes kuishi Dar wakati jimbo lake ni Hai au Karagwe. Ndio maana mh. Mbowe au Blandeni licha ya kupokea mshahara wa mwezi wa tatu na wanne anaweza kuwa ametumia masaa yale yale ambayo angepaswa kuwa kazini, kufanya biashara zake binafsi au shughuli za chama chake ambako nako anaweza kuwa analipwa pia. Kwa mtaji hiyo wabunge wanaweza kujisahahu na kujiona miungu wadogo. Ndio maana hata kukamatwa watataka wakamatwe kwa mtindo tofauti na watu wengine japo makosa yao yanaweza kuwa sawa na tunayofanya sisi walala hoi
 

WAKATI Spika wa Bunge, Anne Makinda, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, na wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wakipinga kukatwa posho zao, wajumbe wa sekretarieti ya chama hicho wamepitisha azimio la kuzifyeka posho zao, Tanzania Daima Jumatano limebaini.

Hatua hiyo huenda ikamuumbua Spika Makinda, Waziri Mkulo na wabunge wa CCM ambao kwa takriban wiki moja sasa wamekuwa kwenye mzozo na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe aliyeibua hoja ya kutaka posho za wabunge, watumishi na watendaji wa serikali, zifutwe.

Duru za siasa kutoka ndani ya CCM, zilisema wajumbe wa sekretarieti hiyo inayoundwa na sura mpya za vijana, walipitisha azimio hilo kwa lengo la kupunguza gharama za uendeshaji wa chama.

Wajumbe wa sekretarieti hiyo inayoongozwa na Katibu Mkuu, Wilson Mukama, ni pamoja na Kapteni John Chiligati, January Makamba, Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba.

Inaelezwa kuwa katika moja ya vikao vya awali vilichofanyika jijini Dar es Salaam, wajumbe hao baada ya kumaliza kikao chao, waliletewa bahasha za posho na kutakiwa kusaini.

“Hapo ndipo hoja ya kufuta posho ilipoanza. Mmoja wa wajumbe alihoji sababu ya wao kuchukua posho kila wanapokutana hasa wawapo Dar es Salaam yalipo makazi ya wengi wao.

“…Katika hali ya kawaida wengi tunatoka Dar es Salaam, tuna magari ya chama ambayo yanajazwa mafuta, sioni sababu tena ya sisi kupata posho tukiwa hapa,” alikaririwa mmoja wa wajumbe wa sekretarieti katika kikao chao cha ndani.
Tangu wakati huo, habari zinasema kuwa wajumbe wa sekretarieti ya CCM hawachukui posho kwa vikao vinavyofanyika jijini Dar es Salaam.

Alipoulizwa juu ya azimio la sekretarieti ya CCM kukataa posho, Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alikataa kutoa ufafanua kwa madai kuwa sio kila kitu cha chama kinapaswa kutolea taarifa.

Hata hivyo alirejea wito wake kuwa suala la posho linajadilika kwani sio kila jambo linalotoka upinzani ni mbaya. “Suala la chama kukataa posho sijui…lakini hoja hiyo inajadilika,” alisema Nape.

Kwa mujibu wa habari hizo, posho ya wajumbe hao ni sh 60,000 kwa siku na hukutana mara kwa mara kutokana na shughuli za uendeshaji wa chama.
Akichangia mjadala wa Mpango wa Maendeleo, Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba (CCM), alisema suala la kufuta posho ni ajenda ya kitaifa kwani imo ndani ya mpango wa maendeleo.

Hata hivyo hoja ya kutaka kupunguza posho za wabunge, iliasisiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, kwenye mikutano ya kampeni za urais.

Hivi sasa, mzozo wa posho za wabunge umefika pabaya baada ya Spika Makinda kusema Zitto na wabunge wengine watakaoshindwa kusaini daftari la mahudhurio wanakabiliwa na hatari ya kufukuzwa bungeni.
Tishio hilo limekuja baada ya Zitto hivi karibuni kutoa taarifa kwamba kuanzia sasa hatasaini daftari la mahudhurio kama njia ya kukwepa kulipwa posho (Seating Allowance).

Spika Makinda alisema Zitto asiposaini mahudhurio ya mikutano mitatu mfululizo, atafukuzwa bungeni.

Alisema Bunge lilishatoa utaratibu kwamba kama Zitto hataki posho zake, anaweza kuichukua mwenyewe na kuipeleka anakotaka.
Sakata la posho za wabunge lililoanzishwa na Zitto na baadaye kuungwa mkono na wabunge wote wa CHADEMA limeonekana kuwagawa wabunge wa CCM.


[TD="bgcolor: #ffffff"]

• Makamba asema kukata posho ni ajenda ya kitaifa

na Martin Malera, Dodoma

[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"] [/TD]
 
kwani nyoka anazaa mjusi?? huyu nae ni walewale, babake alishawahi kusema eti dawa ya babu wa loliondo ilikuwa kwenye ilani yao, mmmh!! simshangai zuzu mtoto.
 
Wana jf nimejiuliza sana leo hii ,hivi yale mahela wanayopewa wabunge ni kiasi gani ?na wanalipwa kwa ajili ya nini ?na yanapigiwa hesabu gani ?

Nimeuliza hivyo kwa sababu nahisi si kiinua mgongo kinacholipwa kutokana na
Mishahara yao,kulingana na kanuni ya kukokotoa mafao hayo.
Kwa wabunge na wengine waliopo jf wanaojua hiyo kitu wanihabarishe
 
kama sikosei per diem ni Tsh 200,000/= na mshahara ni Tsh 8,500,000/= kama nimekosea figure naomba mnirekebishe.
mshahara ni 2,300,000,per diem 80,000,sitting allowance 70,000 kwa siku,posho ya ubunge 5,000,000 kwa mwezi,hayo ndo malipo ya mbunge
 
Yaani kwa mtazamo wangu 90% ya waheshimiwa wanapigania kuingia bungeni Kwa minajili ya kujipatia/kuboresha maisha yao binafsi, hawana nia ya dhati kulikomboa taifa letu na umasikini uliokithiri Mfano leo sheria ikipitishwa kupunguza posho/maslahi ya waheshimiwa hao (m. 12 per month) thubutuuu!!!!!!!!!! Hutaona tena ubunge ukifukuziwa kwa kutumia nguvu nyingi kama sasa Wana wa janvini, hili mwalionaje? Are there for its own curiosity or for the nation interests??😛eep:
Naunga mkono hoja ndo maana wananchi hupewa kanga,kofia,fulana ili wapige kura.Kwa hiyo wananchi ni mtaji bungeni biashara na faida ndo inapatikana(superprofit).A five year scheme!
 
Rais mstaafu wa German ametoa onyo kuhusu issue ya posho amesema kuwa wajihadhari sana maana nchi nyingi duniani hawatoi posho....na wao wanaiangalia kwa makini sana maamuzi ya ccm...na serikali yake!!!gazeti leo the east african na citizen
 
kwa sababu nao wnapesa ya mawazo kama akina sie. Utatembeaje na wallet wakati unalipwa 12 m per month bwanaz??? Acheni hizo waheshimiwa wallet tuachie sisi. Weka pesa mifukoni bwana
 
Zito ni mshauri wa rais wa ujerumani juu ya uchumi wa afrika-amekataa posho.
 
Back
Top Bottom