Wayne
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 659
- 204
Some things can only happen in Tanzania!!!!!!
Mkulu
We are on the same page
Some things can only happen in Tanzania!!!!!!
Pia ulihusu posho ambazo WABUNGE WA CDM wanazodai hawatachukua HUKU WAMEKWISHA ZIKOPA NA KUZITUMIA HATA KABLA YA KIKAO,HALAFU MALIPO YA DENI HILO LA POSHO HUWENDA LISIISHE HADI 2015,Sasa hawa jamaa wanamfanya nani mtoto wa kuwa amini tena ikiwa WANATUDANGANYA WAMESUSA POSHO KUMBE WAMECHUKUA KITAMBO AKIWEMO FAM MWENYEWE!Yupo TBC na William Lukuvi, mjadala ni kuhusu posho za watumishi wa umma.
Wewe ndio unapaswa kuwa na uelewa hao jamaa wamekopa mihela mingi kiasi kwamba imeonekana mishahara yao ya miaka yote 5 haitatosha kuwa kata hayo madeni imebidi sasa wawakate kupitia posho kwa utaratibu waliosain.Hata pamoja na kukatwa kupitia posho bado watakatwa kwa miaka yote 5.wamekopa mamilion mia kadhaa ukiyajua hata hutawatofautisha na hao magamba.Nao ni MAGANDA TU HAWANA JIPYA KELELE ZA BURE!Na nyinyi wachangiaji wengine muwe na akili na ufahamu, we toka lini posho akakopea mtu mkopo?kwani huo ni mshahara wa mtu mpaka waruhusiwe kukopa kwa posho,wao kwa nini wawalazimishe zichukuliwe hizo posho wakati wenyewe hawataki,huoni kuna wapenda posho kuliko kazi.Watu wengine wa ajabu sana siku zote walikuwa wapi kutangaza huo mpango wao wa miaka 5 ijayo?na kama ndo mpango wao na wanawakopesha kupitia posho mbona bado waliruhusu tena wachukue hiyo mikopo.Magamba msituletee danganya toto,toeni hoja za msingi kwa Wtz
Baada ya kauli ya lukuvi mbowe alifadhaika hata mtoto wangu wa wa miaka 9 akasema KUMBE UNAPODANGANYA SHARTI UWE NA KUMBUKUMBU ,Mh. FAM amesahau kama Posho kisha ila na ATAENDELEA KUILIPA HADI 2015, Kwa kauli ya lukuvi wamekopa ma milioni ya Shs na hata wakikatwa mishahara haitosh. HADANGANYWI MTU HAPA,WANATOFAUTI GANI NA MAFISADI WANAOWAPIGIA KELELE?WAJITIA KUSHIBA KUMBE WANA NJAA SAWA NA WENGINE TU!Mbowe, Zitto wamekwisha kopa posho zao kwa hiyo hawana cha kuchukua wanatudanganya. Mbowe hajapinga baada ya lukuvi kudhibitisha kuwa walikopa
Acha wivu wa kijinga wenzio wana randa mbao wewe unaranda majungu hayata kupeleka popote.vua hicho kiatu cha wivu.Kanisani penyewe wachungaji wana maposho kibao sasa bungeni wasipewe kwa kuwa wao sio watu au? Achaneni na hoja za kitoto hizo kuna mambo mengi ya kutafakari kwenye hii inchi.Mathalali kuhusu migodi ambayo haitunufaishi kwa lolote lile.jaribu kukua wenzio wakina zito wanatafuta umaarufu wala hawawatetei wananchi.
acha ujinga wewe makanisa yameingiaje hapa unatumia makamasi kufikilia!acha wivu wa kijinga wenzio wana randa mbao wewe unaranda majungu hayata kupeleka popote.vua hicho kiatu cha wivu.kanisani penyewe wachungaji wana maposho kibao sasa bungeni wasipewe kwa kuwa wao sio watu au? Achaneni na hoja za kitoto hizo kuna mambo mengi ya kutafakari kwenye hii inchi.mathalali kuhusu migodi ambayo haitunufaishi kwa lolote lile.jaribu kukua wenzio wakina zito wanatafuta umaarufu wala hawawatetei wananchi.