Posho na Mishahara ya wabunge...

Posho na Mishahara ya wabunge...

Endapo Posho za Wabunge zitafutwa Wabunge wa CCM huenda wasigombee tena Ubunge 2015 kwa sababu kwao ubunge utakuwa haulipi kabisa na nibora kulima vitunguu kuliko kwenda Dodoma bila posho, Alisikika Mbunge mmoja wa ccm akisema.
 
Hii mindondocha ya CCM mbona tunaifahamu kazi yao kubwa bungeni ni kuzomea wapinzani,kupigia makofi hoja za serikali hata kama hazina manufaa kwa wapiga kura wao na mwishowe ni kupokea posho, hawana faida kabisa hawa manyang'au
 
Mbona posho ni sehemu ndogo sana ya mapato ya mbunge?

kweli kabisa mkuu, ingekuwa ni kwasababu ya posho kuna mabilionea mle wasingeenda, pale ni maslahi ya kulinda biashara zao haramu zaidi, wengine ni uheshimiwa ndo unaowavutia.
 
Mbwa akitaka kufa uwa mrefu sasa na ccm dalili ndo izo kama za mbwa.
 
Mimi nilitegemea Mohamed Dewji, Abood, Rostam n.k. wangekuwa wa kwanza kukataa POSHO!! Lakini kumba nao wanakinga..!
 
hahaaa...wanafunzi  wakidai posho haitoshi waheshimiwa wanasema hawana nidhamu.., na wao sijui tuwaiteje.??tutashuhudia mvutano mkali sana, ila tusiombee nguvu ya umma itumike kupinga posho kwani mambo yatageuka moto wa kifuu..
 
Bunge_TZ_01.jpg

Wananchi stay tune tunaandaa Maandamano Makubwa ya Kupinga Posho na Bajeti ya Kikwete. Maelekezo yanakuja na tunawasiliana na Bavicha na organizations nyingine Dodoma na mikoa mingine. Haya Maandamano tunataka yawe tofauti na malengo ni Kuwaaibisha kikwete, Mkullo, Ndullu, Makinda na wabunge wa ccm. Umaskini wa Tanzania ndio huu nothing else ....

Kama una Ujumbe kwa Wabunge wa ccm na serikali yao ya kizembe, jiandae kwenda Dodoma na Miji mingine. Hakikisha Ujumbe Wako Unafika Bungeni na Ikulu. We need creativity here ....to send message to the world.
 
Wewe acha porojo mnataka tu kugawana pesa zetu (Ruzuku) maandamano sababu ya posho tu mbona wabunge wenu wamechukuwa milioni 90 juzi mbona mlikuwa kimya
sisi wananchi tunawashangaa sana
 
Wewe acha porojo mnataka tu kugawana pesa zetu (Ruzuku) maandamano sababu ya posho tu mbona wabunge wenu wamechukuwa milioni 90 juzi mbona mlikuwa kimya
sisi wananchi tunawashangaa sana
Wepi hao.
 
Mtaandamana kila siku mpaka mfe, kibano pale pale.

Hamuwajui CCM nyie kumbe!!!

Kwa hiyo una-support utumiaji wa polisi kuwaua wananchi wenzio kwa sababu ya kupinga haki zao muhimu sio? Kweli tuna wanyama Tanzania sio binadamu. Endeleeni kuwatumia hawa polisi na tukifanikiwa kuwaonyesha hawa polisi jinsi gani mnawatumia kama tools kuwaua ndugu zao, watawageuzia nyie nyie na mtakipata. Angalia Libya, Egypt na Syria who thought we would see this.
 
Kwa hiyo una-support utumiaji wa polisi kuwaua wananchi wenzio kwa sababu ya kupinga haki zao muhimu sio? Kweli tuna wanyama Tanzania sio binadamu. Endeleeni kuwatumia hawa polisi na tukifanikiwa kuwaonyesha hawa polisi jinsi gani mnawatumia kama tools kuwaua ndugu zao, watawageuzia nyie nyie na mtakipata. Angalia Libya, Egypt na Syria who thought we would see this.
Polisi imeuwa majambazi wewe
 
Back
Top Bottom