Posho na Mishahara ya wabunge...

Posho na Mishahara ya wabunge...

Lukuvi kanishangaza jambo moja, eti Zitto amepora hoja ambayo walikwisha iandaa, mbona wavaa magamba wenzake wanakataa posho kuondolewa. ila kama itakua hivyo mi nafurahia jambo jingine.Viongozi wa wilaya watakuwa wanapatikana ofisini mana cku hizi kila cku ni vikao kumbe posho!!! Kweli ufidadi tz umekinai

ukimsikiliza lukuvi vizuri ni kuwa yeye nae anakiri posho hazifai na hazitaki ...
 
Eti wanasubiri wakutane na viongozi wa vyama vya wafanyakazi (ambao nao wananufaika na sitting allowance) ili kupata maoni yao....CRAP!! MI nashangaa hawa viongozi wa vyama vya wafanyakazi kukalia kimya suala la msingi kama hili, inabidi tuwashinikize waiunge mkono hoja hii ya msingi ya kuondoa sitting allowances!!
 
Hoja ya kutaka kufutwa kwa posho za vikao za wabunge na watumishi wengine wa umma imechukua sura mpya baada ya January Makamba kuliambia bunge kuwa suala la kufuta posho ni la kitaifa na ni sehemu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano uliowasilishwa na serikali................... "Mpango unabainisha kwamba kuna umuhimu wa kufutwa kwa posho za vikao na usafiri hivyo iwapo wabunge mtalisikia likiwasilishwa hapa kwa mbwembwe kesho(leo), basi msije mkashangaa kwani ni sehemu ya mpango huu" alisema Makamba............................
Pia mmoja wa wabunge wa CCM ambaye hakutaka kuandikwa jina lake, alisema anasikia kuhukumiwa katika nafsi yake kutokana na kupokea posho za vikao ambazo kimsingi ni sawa na "kuwaibia wananchi"...............

Source: Mwananchi Jumatano Juni 15 2011
 
Wewe Mtanzania kopo hulipwa sasa iweje kukwepa posho iwe kigezo cha kuondoa posho?mkopo ya wanaCHADEMA watalipaje?Usidanganywe kama mtoto sio suala la mkopo ila CCM wanawahadaa tu ionekane wanajua wanachosema

Mbowe, Zitto wamekwisha kopa posho zao kwa hiyo hawana cha kuchukua wanatudanganya. Mbowe hajapinga baada ya lukuvi kudhibitisha kuwa walikopa
 
HILI NDILO JIBU SAHIHI



Lukuvi: Concept hii nzima hakuna anaeipinga. Kila mtumishi wa umma amepewa majukumu yake pamoja na malipo yake kwa mujibu wa sheria. Sasa matumizi yake ndio kitu cha kutazama. Hapa nipishane na Zitto, aliyesema posho ziangaliwe ni Mkulo. Serikali imesema wazi katika kipindi hiki itaipitia posho mbalimbali kwa watumishi wa umma ili zilete tija na kuziondoa zinazoondoa tija.ALICHOKOSEA ZITTO ni kulifanya jambo hili kama amelivumbua yeye.
 
Mhe. Mbowe kakiri kiutu uzima posho wameshachukulia mikopo,
kaamisha mada, mtangazaji imebidi awe muelewa,na kuacha kuhoji suala la posho
Hii ni bullshit!kama wabunge wanapewa mikopo kwa kutegemea sitting allowances zao na sisi tudhaminiwe tupate mikopo kwa kutumia per diem!!Hawa watu wancheza na akili zetu....
 
Trust no Politicians, kama tunadhani kuwa sisi ni ma-great thinkers basi ni bora kutumia muda huo katika kubuni na kuandika miradi ya maendelea na kuishawishi jamii yetu ijikite katika kujishughulisha zaidi, great thinker yeyot katika nchi zinazoendelea hupoteza sifa yake pale anapoamua kuchangia mambo ya siasa na kuwashauri wanasiasa wa nchi hizo........Thats just a red code.
 
HII NI HOJA YA KITAIFA.....!
Kimsingi, iungwe mkono pasipo kujali itikadi za kichama! GO ON MAKAMBA ...GO ON ZITTO......GO ON OTHERS
 
Nyie dandieni magari kwa mbele tu, shauri yenu. CHADEMA leteni issue zingine baada ya hili, ikibidi uwepo muswada wa kudhibiti safari za Rais nje ya nchi. Mbona anasafiri safiri sana, karibu kila mwezi, au ndo yale alosema Tundu Lissu na Mwanahalisi wakati wa kukemea kampeni za maji taka
 
Wanatafuta umaarufu tu hawana lolote si chochote hao! Mboe,zitto kila siku wanagombania madaraka ndani ya chadema wiz mtupuuuuu!!
Wewe ni mgonjwa kweli, Mbowe na Zito wamemwibia nani????? Maghamba type!!!!!!! Umaarufu wa nini, kwani posho hizo haziwezi kuboost maendeleo ya nchi??????
 
Bila shinikizo letu wananchi hizi posho itakuwa ngumu kufutwa....nani anayependa kujipunguzia mpunga??sana sana wataibadilisha jina tu....
 
Lukuvi anasema Mh. Zitto amelichukua ili swala la posho kama lake binafsi , wakati serikali imekwisha litolea ufafanuzi kwenye vitabu vyake ambako ndiko Zitto aliko lichukua

Kwani vitu vingapi vya serikali vipo vitabuni? Hata mkukuta upo vitabuni pia na upasikini unasonga mbele!
 
Trust no Politicians, kama tunadhani kuwa sisi ni ma-great thinkers basi ni bora kutumia muda huo katika kubuni na kuandika miradi ya maendelea na kuishawishi jamii yetu ijikite katika kujishughulisha zaidi, great thinker yeyot katika nchi zinazoendelea hupoteza sifa yake pale anapoamua kuchangia mambo ya siasa na kuwashauri wanasiasa wa nchi hizo........Thats just a red code.

' every human being is a political animal'' that's why umefika hapa!
 
jamaa hawataki posho ila wameshazikopa hata kabla ya vikao.
posho zipunguzwe, ni nyingi mno

Wewe jinga sana kila kitu unawatetea CCM, hata wakikwambia uwalambe....... utakubari.
 
Hii ni bullshit!kama wabunge wanapewa mikopo kwa kutegemea sitting allowances zao na sisi tudhaminiwe tupate mikopo kwa kutumia per diem!!Hawa watu wancheza na akili zetu....
hehehe ndo naenda kuchukua form ya kukopa hapa kupitia per diem
 
Kweli CCM tunatisha kwa ku paste! Suala ya Katiba mpya walianzisha wapinza tukalichukua juu kwa juu likatushinda! Naona na hili la posho tunataka kulidaka! Ee mungu tusaidie tusiumbuke!

Mkuu hapo umeniacha hoi. Sasa hili nalo likimishinda mtafanyaje?
 
Sasa Zitto anataka wakatwe posho kumbe wameshachukua mkopo! Hii ni nini sasa? Lukuvi kasema Mshahara wa mbunge unatumika kwenye kukopa magari ambazo ni milion 45 na serikali inamchangia Mbunge milion 45 jumla milion 90. Mikopo mingine ya milion 100,milion 200 inatokana na posho za vikao! Kweli wana siasa wa ni Bongo usanii mtupu!
 
Mbowe, Zitto wamekwisha kopa posho zao kwa hiyo hawana cha kuchukua wanatudanganya. Mbowe hajapinga baada ya lukuvi kudhibitisha kuwa walikopa

Msikilize mbowe kwa masikio ya kibinadamu na sio masikio ya popo
 
Back
Top Bottom