Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 100
Mbowe, Zitto wamekwisha kopa posho zao kwa hiyo hawana cha kuchukua wanatudanganya. Mbowe hajapinga baada ya lukuvi kudhibitisha kuwa walikopa
Safi sana amejibu vizuri ujinga aliouliza Zakari juu ya kuwa wameshakopa hizo posho, amemwambia kama wapo wakopeshaja kupitia posho basi wanamatatizo kwa kuwa posho hulipwa baada ya kuhudhuria vikao.[/QUOTE]
Mkuu kama posho haiwezi kukopeshwa kwa kuwa inalipwa baada ya kuhudhuria vikao inakuwaje mshahara ukopwe, mshahara nao si unalipwa baada ya kufanya kazi au?
Mbowe, Zitto wamekwisha kopa posho zao kwa hiyo hawana cha kuchukua wanatudanganya. Mbowe hajapinga baada ya lukuvi kudhibitisha kuwa walikopa
Patamu hapo wakuuu. Wanasiasa wote ni wasaka tonge tu. Kumbe hili ni changa la macho!!
Mbona hukwenda kuchota mchanga wa dhahabu au wewe pia ulikuwepo?Kazi ziko wapi wakati mmegawiana wenyewe Mafisadi?!! ndio tunataka kulianzisha mbelle kwa mbele mpk kieleweke..na hizo kazi tugawane na sisi tufurahie keki ya taifa..
Wanatafuta umaarufu tu hawana lolote si chochote hao! Mboe,zitto kila siku wanagombania madaraka ndani ya chadema wiz mtupuuuuu!!
live TBC,
CDM wanang'ang'ania posho zipunguzwe kumbe mpaka Mhe.Mbowe na Mhe.Zito wamezikopa teyari , Mhe.Lukuvi kamuaibisha Mbowe live.
Mhe. kaamisha mada kawa mpole kama kamwagiwa maji.
hivyo hata ikisemekana wakatae posho watakataa nini na zote wamechukulia mikopo
uwe unasikiliza mpaka mwisho ndo unachangia sio unaongea as if unahara kama mgonjwa wa kipindupindu...kwani mtu akichukua mkopo means ya kuulipa ni posho tu?mbona una mawazo ya kishamba sana wewe!!! ndo maana mawazo yako yamefanana na mwalimu wa UPE lukuvi
Safi sana amejibu vizuri ujinga aliouliza Zakari juu ya kuwa wameshakopa hizo posho, amemwambia kama wapo wakopeshaja kupitia posho basi wanamatatizo kwa kuwa posho hulipwa baada ya kuhudhuria vikao.[/QUOTE]
Mkuu kama posho haiwezi kukopeshwa kwa kuwa inalipwa baada ya kuhudhuria vikao inakuwaje mshahara ukopwe, mshahara nao si unalipwa baada ya kufanya kazi au?
Mshahara ni wa mkataba ambao hata ukiumwa mwezi mzima utalipwa tuu hata kama utakuwa hujafanya kazi, lakini posho kama hujahudhulia vikao huwezi kupewa. Mtoaji/mdhamini wa mkopo anakuwa na uhakika gani kwamba huyo mkopaji atahudhulia vikao vyote mpaka apewe mkopo wa posho kabla ya vikao?
Hapa nakuwa na wasiwasi na bunge letu.