Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
magamba wanaleta hoja za kipumbavu hapa.
kwanza wanaongeza tatizo juu ya tatizo kama mtu alishakopa kwa kutumia mshahara haruhusiwi kukopa tena.
mfano una mkopo benk ukaweka dhamana mshahara wako na ukirudi na kuchukua mkopo kwa mara yapili kwa utaratibu usioeleweka kama kutumia posho hilo ni kosa na litakuwa ni kosa la mkopeshaji na si la mkopaji.
kwa hiyo lukuvi hapo anatuambia kwamba serikali imefanya makosa mawili.
kwanza kwa sheria za pesa mahali popote duniani posho haiwezi kuwa dhamana ya mkopo.kwa sababu posho inakuwa halali pale tu mhusika anapohudhuria kikao husika.
wote wanaomsifu lukuvi akili zao sijui kama zina akili.
mtu anakiri kuiba ila utetezi wake ni kwamba hata mtoto wa mwenye mali nilimkopesha katika hizo.akili ya kushikiwa .
bila ccm imara nchi yetu itayumba-nyerere.
yametimia.asiyekubali ni tunda la ufisadi.
kwanza wanaongeza tatizo juu ya tatizo kama mtu alishakopa kwa kutumia mshahara haruhusiwi kukopa tena.
mfano una mkopo benk ukaweka dhamana mshahara wako na ukirudi na kuchukua mkopo kwa mara yapili kwa utaratibu usioeleweka kama kutumia posho hilo ni kosa na litakuwa ni kosa la mkopeshaji na si la mkopaji.
kwa hiyo lukuvi hapo anatuambia kwamba serikali imefanya makosa mawili.
kwanza kwa sheria za pesa mahali popote duniani posho haiwezi kuwa dhamana ya mkopo.kwa sababu posho inakuwa halali pale tu mhusika anapohudhuria kikao husika.
wote wanaomsifu lukuvi akili zao sijui kama zina akili.
mtu anakiri kuiba ila utetezi wake ni kwamba hata mtoto wa mwenye mali nilimkopesha katika hizo.akili ya kushikiwa .
bila ccm imara nchi yetu itayumba-nyerere.
yametimia.asiyekubali ni tunda la ufisadi.