Unajua mpaka inakuwa kama maigizo, same people na serikali yao kwa muda wa zaidi ya wiki wanalibishia hili na kusema wanaotaka posho zifutwe wanatafuta umaarufu halafu ghafla eti wanasema wamefuta posho kwenye vikao vya chama chao. Tena ili kutuingiza kingi wanasema hili lilianza kujadiliwa zaidi ya mwezi uliopita ili tu isionekane wamekopi na kupaste kutoka kwa Zitto. For the last one month tumeona mpaka akina Nape wakihutubia watoto, kifupi kila walichokuwa wakifanya kilikuwa reported sasa hilil lilisahaulika vp?