Pornograph(picha za ngono)

Pornograph(picha za ngono)

Mkuu hili swali ilibidi uwaulize vijana wa kiharabu maana kwa utafiti wao ndio wanaongoza ku-down hizi movies!
 
Leo posta-dar ni nouma...kunavunjwa vibanda vyote vya wadosi...hivi huyo anaye ongoza jiji ni mgeni maana asije ng'olewa kucha bure
 
Hahhhhahhhhhahhha shangaaa eti dunia kijijii wakati duniaa ni jijii nasikia Joshua katabiri ipo Gamboshiii huko Shinyangaa
Hahahaaa.... makubwa haya! Chezea Gamboshi wewe? Kwa kukukumbushia tu mkuu Dinazarde, Gamboshi kwa sasa iko mkoa mpya wa Simiyu na si Shinyanga tena! Waende wakaiokote ndege yao, Wanyantuzu wameshafanya yao!
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi umechangiwa ipasavyo kama kwenye bunge maalumu la Katiba wakati ule wa Kificho na wa Sita kidoogo pale mwanzo mwanzo. Hahahaaaaaaaaaaaa......
 
nimecheka sana, yaani watu wanaanza kujadili vitu tofauti kabisa, inaonyesha mmechoka kutukana watu wasijielewa bora kuwapotezea labda watajitambua, nimeipenda sana hii
 
Nasikia wameanza kusindika na kusafirisha ulanzi mikoani. Wadau ivi utapata soko?
 
Ya leo kali, kafulila amemfunika dovutwa na uzee wake kutaka urais kumbe mweupe
 
Habari wana MMU,

Miaka ya hivi karibuni kumekua na wimbi kubwa sana la ongezeko la picha hizi za porn katika mitandao mbali mbali na sababu kubwa ninayoiona mimi ni kukua kwa teknolojia duniani.

Hivyo ningependa kupata michango yenu juu ya faida na hasara ya picha hizi hasa katika mahusiano ya kimapenzi
karibuni....

huna lolote unataka watu waanze kuzini tu hapa! shindwaaaa na pepo lako
 
kuna mbunge wa kijani nimekutana nae hapa korido ananuka tumbaku....
 
We si unamkumbuka yule kabwe aliyekuwa anapambana na machinga mwanza? Kwa sasa ndio mkurugenzi wa jiji la dar. Shughuli za mwanza zimehamia dar. Si unaona mwanza kumetulia ?
 
Back
Top Bottom