denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,953
mlio post kisichohusiana na mada ni wa .. e
Ukataji miti hovyo na uchomaji mkaa ni hatari kwa afya yako, ona sasa....!
mlio post kisichohusiana na mada ni wa .. e
mlio post kisichohusiana na mada ni wa .. e
Arusha mkuuHivi unajua bangi inayotumiwa na wajumbe wa bunge la katiba,bado haijajulikana inalimwa wapi?
mlio post kisichohusiana na mada ni wa .. e
Hawa trafiki wanakera sana,wamekamata baiskeli yangu kisa haina kengele.
Ndiyo maana yake, hii nimeipenda.
Huko mji kasoro bahari, uliko mlima uluguru kuna mama mmoja mitaa ya Nane nane kilipo chuo kikuu cha Jordan amechoma nyumba ya wapangaji wake wanachuo kisa wivu wa mapenzi na mumewe na kusababisha hasara kwa mali na ada za wanachuo hao zilipoteketea wakiwa darasani, eti kumbe mkiwezeshwa mnajiweza hivi eeh???
Mkuu malaysia airline haijapatikana?
Mkuu nimesikia imepatikana Ufukwe wa Jiji la Tanga.Na wote wakapotea kama ndege.......