hivi manyuu haiwezi kupigwa bei?
Hapo wewe umechangia hoja?mnaihujumu hoja jaman.
mbona mambo ya katiba yana jukwaa lake!
Kwa sababu mtu wa kwanza hapo juu amewavurugahoja na coment tofauti.........mmevurugwa
Mkuu ukinunua nitakuja kununua hisa kwako, japo na mimi niwe na sauti ya kumtoa nduki MoyesBei gani mnaweza kuniuzia?
Kwani picha za ngono hazina sehemu yake, mbona hii ipo hapa?mnaihujumu hoja jaman.
mbona mambo ya katiba yana jukwaa lake!
Mkuu ukinunua nitakuja kununua hisa kwako, japo na mimi niwe na sauti ya kumtoa nduki Moyes
Mjini wote baby hakuna babu
Hivi ninyi watanganyika nani kawaroga hata muikane nchi yenu? Hivi siku ya kiyama tukikuta watu wanapaswa kukaa ki nchi tutakuwa wageni wa nani maana tanganyika itatukataa na hakuna nchi inayoitwa tanzania kule....amkeni serikali tatu mpango mzima.
Halafu nasikia alshabaab anataka serikali tatu kweli?
haaahhahahah hii ndio JF ..mtoa mada pole wote wapo against na wewe
ngoja View attachment 150256
Hata mim naungana nao nishaanza mafunzo isipopitaa tunalipuaa hadi wewe hatukubakishii siku hiyo hakuna cha ubinamu
Hahahahaha!Dah ni sheeedah