Pornograph(picha za ngono)

Pornograph(picha za ngono)

utafiti...huyu dogo umri bado sasa ukimwambia kitu hapa atatangaza sana!
 
Last edited by a moderator:
Ni ujinga wa watu,unakubali vp mtu akupige picha za uchi?hata kama ni mpenzi sio mumeo huyo,ulimbukeni umewajaa baadhi ya binadamu!
 
hivi ni lini dala dala zitaanza kwenda zanzibar?

natamani sana nauli ya ndege iwe 400!
 
hivi ni lini dala dala zitaanza kwenda zanzibar?

natamani sana nauli ya ndege iwe 400!

Hahhhhhahhhha siku hiz una mbwelaaaa weyee hata mi natamani nauli ya Kwenda Marekani iwe 50000 tu
 
Inabidi tujichukulie sheria mkononi,mods wanaachia sana mada za kitoto. Ukiiona mada ya kitoto tushtuane tuje tuharibu!
#team sheria mkononi.

Ndugu Mwenyekiti, Deo Carleone amevunja kanuni ya 7 kwa kudai eti tujichukulie sheria mkononi! Hii haikubaliki ndugu mwenyekiti, lazima atuombe radhi la sivyo hatoki humu ndani! CC utafiti !rleoneeo Corleone
 
Hahhhhhahhhha siku hiz una mbwelaaaa weyee hata mi natamani nauli ya Kwenda Marekani iwe 50000 tu
unataka kwenda marekani kwa mbebez mange kimambi ama?

nasikia amehamia beverly hills bana, amenunua jumba pale la dola milioni 6!

wabongo mna hela kumbe....
 
ndio maana jukwaa la wakubwa tunapata shida sana!!...

watoto wanawahi kuona mambo mazito wakati hard disk zao ni ndogo mno!

hiki kizazi cha vigodoro hiki...!
 
unataka kwenda marekani kwa mbebez mange kimambi ama?

nasikia amehamia beverly hills bana, amenunua jumba pale la dola milioni 6!

wabongo mna hela kumbe....

Eeee natakaa nikaone anapoishii pia kuhakikisha kama kanunua nyumbaa mbona anapiga tu vyumbaa basi hatuoneshi nje palivyoooi wabongo pesa ipo sema ubahiliiii hahhhhha
 
Tangawizi ina faida gani mwilini?

Naomba nisaidiwe jibu
 
Je, ni kweli Osama ajafa? au ni kweli ameuliwa?

Je, ni kweli JESUS of Nazareth atarudi tena duniani?

.....Ni hayo tu kwa sasa.........
 
Je, ni kweli Osama ajafa? au ni kweli ameuliwa?

Je, ni kweli JESUS of Nazareth atarudi tena duniani?

.....Ni hayo tu kwa sasa.........

Osama hajafa yupo Bariad anafuga na kuchunga ng'ombe

Yesu harudi tena hata ingekua mie kwa kipigo kile nisingerudii...!!!
 
Ndugu Mwenyekiti, Deo Carleone amevunja kanuni ya 7 kwa kudai eti tujichukulie sheria mkononi! Hii haikubaliki ndugu mwenyekiti, lazima atuombe radhi la sivyo hatoki humu ndani! CC utafiti !rleoneeo Corleone
Deo nini tena??? Unataka kuua mtu kaka? Hebu MDDoctor kaa pale mlangoni asitoke mtu mpaka kila mmoja ahakikishiwe usalama wake
 
Last edited by a moderator:
Inasaidiaa kuuwashawasha mwili wako hasa koonii
Na je ni tangawizi ipi inafanya kazi haraka/inaponya haraka - ile ya kuponda kisha unatumia kama ilivyo au ile wanayoweka kwenye chai au maji ya moto?

Naomba nisaidiwe tena jibu, samahani kwa usumbufu
 
Hivi ndege ya Malaysia iliyopotea bado tu haijapatikana? Halafu eti bado tunasema dunia ni kijiji? Duh, hakyanani iko siku itapotea nchi nzima na tusiione tena!!!!! Aaaarah... tena si hata Tanganyika ilipoteaga hivi hivi?
 
Hivi ndege ya Malaysia iliyopotea bado tu haijapatikana? Halafu eti bado tunasema dunia ni kijiji? Duh, hakyanani iko siku itapotea nchi nzima na tusiione tena!!!!! Aaaarah... tena si hata Tanganyika ilipoteaga hivi hivi?

Hahhhhahhhhhahhha shangaaa eti dunia kijijii wakati duniaa ni jijii nasikia Joshua katabiri ipo Gamboshiii huko Shinyangaa
 
Na je ni tangawizi ipi inafanya kazi haraka/inaponya haraka - ile ya kuponda kisha unatumia kama ilivyo au ile wanayoweka kwenye chai au maji ya moto?

Naomba nisaidiwe tena jibu, samahani kwa usumbufu

Tafuta tangawizii ya Tangaa ni kiboko kuliko zoteee
 
Hivi ndege ya Malaysia iliyopotea bado tu haijapatikana? Halafu eti bado tunasema dunia ni kijiji? Duh, hakyanani iko siku itapotea nchi nzima na tusiione tena!!!!! Aaaarah... tena si hata Tanganyika ilipoteaga hivi hivi?
Sijui kuna ajenda gani ya siri
 
Back
Top Bottom