HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Watu wa viwango nao sijui huwa wanawaza nini, wanajua sigara ina athari kubwa kwa afya sasa badala ya kuipiga marufuku ndio kwanza wameihalalishaUvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.
Na cha ajabu katika pakiti kwa nje wametoa tahadhari sigara si nzuri kwa afya yako
Wajameni mbona inachanganya sana