masterplanner
JF-Expert Member
- Oct 23, 2015
- 226
- 266
The best way ni kuiexpose Tanganyika kutoka kwenye koti la muungano, yaan tuunde federation.
Swala la kuunda Union kwa sasa ni ngumu. Huwezi kuunda Union wakati majority ya wazanzibar wanasema wanataka Zanzibar yenye mamlaka kamili, yaani hii kitu ya Zanzibar kuwa mamlaka kamili ni very sensitive Sana, kuna wazanzibar hata ndani ya ccm wanaamini kwenye Zanzibar yenye mamlaka Ila wanaogopa tu kusema hadharani, unless kama tunataka kuwaburuza watu ili iundwe hiyo Union, mwisho wa siku watu wataishi kwa chuki kwenye mioyo kwa kuwalazimisha kitu ambacho hawakitaki.
Muungano unatakiwa uwe na Win Win situation , watu waridhiane na siyo kulazimisha Mambo.
Swala la kuunda Union kwa sasa ni ngumu. Huwezi kuunda Union wakati majority ya wazanzibar wanasema wanataka Zanzibar yenye mamlaka kamili, yaani hii kitu ya Zanzibar kuwa mamlaka kamili ni very sensitive Sana, kuna wazanzibar hata ndani ya ccm wanaamini kwenye Zanzibar yenye mamlaka Ila wanaogopa tu kusema hadharani, unless kama tunataka kuwaburuza watu ili iundwe hiyo Union, mwisho wa siku watu wataishi kwa chuki kwenye mioyo kwa kuwalazimisha kitu ambacho hawakitaki.
Muungano unatakiwa uwe na Win Win situation , watu waridhiane na siyo kulazimisha Mambo.