October 29
JF-Expert Member
- Nov 5, 2024
- 3,148
- 4,452
Kuna ukweli,yalishanikutaga miaka kumi na iliyopita
Hapa utakuwa umeoa takataka! Na wewe mwenyewe utakuwa mwanaume wa daraja la chini sana!WAZAZI WENZAO
Hapa ndio kwenye mtihani mkubwa kuliko ule wa kwanza.
Nikisema wazazi wenzao namaanisha mababa rasmi wa watoto tunaowaongelea.
Hawa mababa ndugu yangu huwaga wabishi sana kuelewa tena ukifanya masihara utaacha mke hivihivi. Umelala na mke wako usiku jamaa atapiga simu, mchana mkeo yupo jikoni jamaa atapiga simu na mke ataongea nae huku simu IMEBANWA SIKIONI NA BEGA huku akiendelea kupika au kufua.
Ukijaji sana utawekewa na loud spika kabisa ili umsikie mwanaume mwenzio.
Kuna manaume mengi yamegeuka kuwa takataka siku hizi! Kila linaloamka linaamka na Singo mazeri pumbavu kabisa!Mnavo wasimanga single mums duuh 😒 nadhani tunatakiwa tuwatie moyo walee watoto wao na sio kuwatia mdomono kila siku kama mswaki
Wanasahau kuwa factor mojawapo ni irresponsible mens ila lawama zote zonaelekezwa kwa single mamaKuna manaume mengi yamegeuka kuwa takataka siku hizi! Kila linaloamka linaamka na Singo mazeri pumbavu kabisa!
Wanawake wameshuka sana thamani aiseeMnavo wasimanga single mums duuh 😒 nadhani tunatakiwa tuwatie moyo walee watoto wao na sio kuwatia mdomono kila siku kama mswaki
Cholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatuWanawake wameshuka sana thamani aisee
Ng'hana Ng'wanangwaCholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatu
Mwanamke/binadamu sio commodity na hawezi shuka thamani kwa maneno ya jeifu, wala kwa sababu alizozitoa mleta mada.Wanawake wameshuka sana thamani aisee
Nimeandika hivyo ukipita kwenye ma group ya telegram utaona wanawake ambao nin40+ wanavyojianika wazi bila nguo sijui huwa wanafanya vile kwa sababu gani.?Mwanamke/binadamu sio commodity na hawezi shuka thamani kwa maneno ya jeifu, wala kwa sababu alizozitoa mleta mada.
Kwani wanaume wewe unawaona wako wapi bwashee? Mianaume mingi imebaki suruali!Wanawake wameshuka sana thamani aisee
Unyelile kayanda"ebhe! Unokho ng'wenekele Aho'agutolagwa na linso walali'singo maza lelo wandye kubabyedeleja giko a'bakima?Cholaga mwanike lekaga bhakema tolaga mwanike wa 21-ishina Ina idatu
Cocochanel kumbe una akili! Jamaa anachukulia lesson kwa kahaba ndiyo ana-generalize!I nategenea, kuna wanawake hata ex akiwa jaribu hawarudi tena kwake. Mara nyingi akiwa aliumizwa sana nae basi huyo hatamrudia, ila ikiwa mengine kusali tu.