..what about ''single but married mothers'', hats off to them as well...
Penda sana wewe mwanamke ubarikiwe...! Shida wakisifiwa mibichwa inawavimba waache kuwa desperate wakijipanga waweza kuwa na wenza shida yao wazazi wenzao wengi wao ni michepuo yao...! NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE ATA WALIO IKOSA...
You got me right mum!...married but single, they endure torrid moments in raising kids all by themselves. Uliza waume zao wapo wapi. utapata jibu..Hhaahahahaa nimesoma mara tatu kuelewa japo nahisi bado sijaelewa...... correct me if I get it wrong..........
You mean married woman but are single moms coz their husbands eithet are busy with kutafuta hela au busy enjoying life with other women and left malezi na kilakitu kwa mwanamke hece single married women.....!!!???
If so...................Very big respect to them!!
Ukiwa "mwanaume" you ll always have respect to women.
Ahsante sana BronDO.
Sina hata nguvu za kuongea. Bahati mbayq kuna watu wenye single mothers ila hawajui thamani ya mama zao.
I wish I could get her back even for a single minute.
You got me right mum!...married but single, they endure torrid moments in raising kids all by themselves. Uliza waume zao wapo wapi. utapata jibu..
Shame to those husbands halafu mtoto akifanikiwa nakuwa prominent person baadae ndo utamuona baba anakuja na kengele zake that's my son.... or that's my daughter kumbe hata hata shule aliyosoma mtoto wake hujui. Big shame ila ndo hivo wanaume wa hivo hawana hata haya.
Utakuta mama kama samaki wa kukaanga au kuuza mama ntilie ili mwanae asome baba anacheza bao au yuko na vidosho.
Kabisa, wengi wamekosa mshipa wa aibu. Baada ya mama kuishi kwa shida, kukopa na hata kujidhalilisha ili watoto wasome, wakifanikiwa tu unaona hao na kujipraudi kuwa mwanangu ni rubani, daktari, mhandisiShame to those husbands halafu mtoto akifanikiwa nakuwa prominent person baadae ndo utamuona baba anakuja na kengele zake that's my son.... or that's my daughter kumbe hata hata shule aliyosoma mtoto wake hujui. Big shame ila ndo hivo wanaume wa hivo hawana hata haya.
Utakuta mama kama samaki wa kukaanga au kuuza mama ntilie ili mwanae asome baba anacheza bao au yuko na vidosho.
Kabisa, wengi wamekosa mshipa wa aibu. Baada ya mama kuishi kwa shida, kukopa na hata kujidhalilisha ili watoto wasome, wakifanikiwa tu unaona hao na kujipraudi kuwa mwanangu ni rubani, daktari, mhandisi...
Ni bora kuwa single ukajua upo single, kuliko kuwa na mtu kama hayupo vile...
Huo ndio u selfish ambao akina mzabzab wanausema....unajali matakwa yako tu, vipi haki ya mtoto kulelewa na baba na mama?
I wish we did. Ila kwa jinsi hii mada ilivyogusa maisha yangu mwenyewe, sina zaidi ya kusema RIP Mama.
Sasa kuliko kuwa na baba jina anayejua kuning'iniza kengele zake tu si bora hiyo picha isiwepo ndani ijulikane moja!!
Babuu maneno yako yamenifanya nivute hisia za huzuni polee sana. Have my hug for comfort.
Pole sn babu, daaaah RIP mom.