Pongezi kwa Jeshi La Polisi Ruvuma

Pongezi kwa Jeshi La Polisi Ruvuma

Na yule malaya wao wa Nairobi anabweka tu huko akitag international community iiwekee TZ vikwazo!! Yaani WB iweke vikwazo kwa raia mil 62 kisa kwaajili ya fools errands??
Kwa maana nyingine hutaki watu wadai mifumo yenye haki? Kisa bwana wako Mbowe hajapata uenyekiti. Kazi kwelikweli
 
Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??

Wepesi kama biskuti?

Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.

Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.

Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Ahaaa. Kama hawawezi kuzuia mbona kibibi kimepaniki mpaka kinaanza kutoa amri wakamatwe? Kitalaanika kama yule mwenzawazimu wa Chato.
 
Shida (bogus/hopeless ) hawawezi kujua matumizi sahihi ya akili, sababu ni bogus na hopeless, hawa kwa idadi ni wengi sana. Hawawezi kujenga hoja madhubuti, wao hukalia ushambenga, umbeya na mambo mengi ya kipumbavu/ kipuuzi, uwezo wao mkubwa wa akili huwaza kushiba, simply akili zao ni kama zimehamia tumboni, hata kwenye mambo nyeti ya kitaifa huliacha tumbo lihisi-lifikiri. Jamii au watu wa namna hii wao bora liende! Wale wachache wanaotumia akili kwa usahihi, NDIO wanaoleta faida kwa wote.
 
Ahaaa. Kama hawawezi kuzuia mbona kibibi kimepaniki mpaka kinaanza kutoa amri wakamatwe? Kitalaanika kama yule mwenzawazimu wa Chato.
Mvaa pampas Lissu atishie kuzuia uchaguzi?

Sasa tutawashulikia ipasavyo mjue nyie ni punje tu kwenye nchi hii.
 
Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??

Wepesi kama biskuti?

Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.

Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.

Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Sasa hapo waoga ni CDM au watawala na washirika wao🤣🤣🤣hii nchi ndio mana watu wake hawana furaha unaandika mtandaoni huku ukijua na roho inakuuma kuona kwanini CDM inaungwa mkono
 
Sasa hapo waoga ni CDM au watawala na washirika wao🤣🤣🤣hii nchi ndio mana watu wake hawana furaha unaandika mtandaoni huku ukijua na roho inakuuma kuona kwanini CDM inaungwa mkono
Kumkamata mpotoshaji ni kumwogopa?

Yeye si alisema atakinukisha?

Ameokotwa kama kuku na hao wafuasi anaodai ni wake awajaweza kufanya lolote

Sasa asote sero kidogo ajue yeye ni chiba tu
 
Kwa maana nyingine hutaki watu wadai mifumo yenye haki? Kisa bwana wako Mbowe hajapata uenyekiti. Kazi kwelikweli
kudai haki isiyokuwepo kwa kuvunja haki iliyopo ni upumbavu. Acha wapumbavu wawekwe upumbavuni kunakowastahili, Lissu ametangulia na na nyie mtafuatia, shenzy kabisa!
 
Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??

Wepesi kama biskuti?

Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.

Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.

Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Basi chawa mnafuraaahiiii.Mnahisi uhakika wa ushindi wa kuiba mmeshaupata.Kwa hiyo ulitaka yatokee mapambano ili upata kisingizio rahisi kisicho kutieni aibu.
 
Ahaaa. Kama hawawezi kuzuia mbona kibibi kimepaniki mpaka kinaanza kutoa amri wakamatwe? Kitalaanika kama yule mwenzawazimu wa Chato.
Hakuna kuku atavunja sheria za Nchi halafu aachwe hivi hivi eti kwa sababu ya mbweha wanaobweka mitandaoni... Amani ya Nchi ni bora mara mia kuliko nguchiro 100 wanaochochea vurugu..
 
Kumkamata mpotoshaji ni kumwogopa?

Yeye si alisema atakinukisha?

Ameokotwa kama kuku na hao wafuasi anaodai ni wake awajaweza kufanya lolote

Sasa asote sero kidogo ajue yeye ni chiba tu
Mtu hana jeshi unaenda na silaha unasema kumuokota kama kuku una akili timamu wewe au umejaza nya kichwani? Unadhani mnamkomoa ndio mnamuongezea umaarufu ndio mnakiongezea chama umaarufu mnakifanyia PR mnaakili gani sasa hapo
 

Attachments

  • 20250213_161701.jpg
    20250213_161701.jpg
    89.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom