Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,609
- 8,298
Leo cheka na ufurahi kabisa maana ni wakati wako.Hao ndio wanasema watazuia uchaguzi ulipo kikatiba!??
Wepesi kama biskuti?
Na moto huu huu wapelekewe mpaka walioficha familia zao ulaya na Canada wakimbilie huko.
Keyboard warriors wa hapa Jf Wekeni Majina yenu na Akaunti zenu original tujue kweli mnadai mabadiliko.
Lissu kadakwa kama kuku 😂😂😂
Uliyeko serikalini IPO siku utajikuta upinzani so usifurahie madhira ya CHADEMA ni kwakuwa mifumo yetu ni ya hovyo.