Pombe ni dhambi, acha kuitumia

Pombe ni dhambi, acha kuitumia

Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Dogo pambania maisha yako. Achana na mambo ya pombe. Sie wanywa pombe sio sababu wewe kuwa na maisha magumu! Achana na sisi!
 
Jinga sana wewe. Umeshaingia kwenye mfumo. Yesu mwenyewe muujiza wake wa kwanza ilikuwa kutengeneza pombe
 
Pombe si dhambi moja kwa moja, bali ulevi na kutawaliwa na pombe ndo dhambi.

Usinywe maji tu, bali tumia divai kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na kwa sababu ya maradhi yako ya mara kwa mara.
1 Timotheo 5:23
 
Back
Top Bottom