Pombe ni dhambi, acha kuitumia

Pombe ni dhambi, acha kuitumia

Gospel KTV

Senior Member
Joined
Aug 23, 2025
Posts
175
Reaction score
287
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake. Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi, unaongea kama teja au zombi, unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo, unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana, wapo wengine wanavua hadi nguo, wapo wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji, wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Wengi wanavua nguo na kuzini wakiwa hawajaonja pombe kabisaaaa na wamejipodoa wananukia vyema..huko uwanja wa Fisi,kwa mparange nk.
 
Kuzini ni kosa?
Kuyumbayumba ni kosa?
Kuongea mwenyewe ni kosa?
Kuvua nguo ni kosa?

Kosa ni nini?
Kuzini ni dhambi. Kuzini maana yake ni kufanya mapenzi na mtu ambaye sio mpenzi wako. Unaleta migogoro katika mahusiano na ndoa. Ndoa inakosa amani na mahusiano yanakosa amani mpaka yanavunjika kabisa. Kwenye ndoa watoto wanakosa amani wazazi wao wanagombana ovyoovyo kwasababu ya uzinzi na ulevi.
 
Kuzini ni dhambi. Kuzini maana yake ni kufanya mapenzi na mtu ambaye sio mpenzi wako. Unaleta migogoro katika mahusiano na ndoa. Ndoa inakosa amani na mahusiano yanakosa amani mpaka yanavunjika kabisa. Kwenye ndoa watoto wanakosa amani wazazi wao wanagombana ovyoovyo kwasababu ya uzinzi na ulevi.
Kosa ni nini?
 
Mkemia anayetengeneza soda naye ni mnywa pombe nawe usinywe hata hizo soda
Mkemia anayejua athari za ulevi vizuri hawezi kutengeneza pombe yenye ufisadi ndani yake. Pombe inaua viungo vya ndani vya watu. Inaua figo na ini. Kwahiyo anatenda dhambi ya kuua.
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Nyingine ni Damu ya Yesu.
 
Kula
Kisungura
Double kiki
Habar ya mjini kwa wenye kipato duni
Utakuta mtu mdomo umejaa machicha ya pombe anaongea hovyohovyo, anamsahau mke wake, anatukana watoto akirudi kulewa alafu anasema pombe sio dhambi.
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Mbona Biblia imesema fungu la kumi naweza kunulia pombe?
 
Nimeanza na pombe kwanza kwasababu inashambulia akili na ufahamu.
Vipi kutolala kwenye net mbu wakakushambulia ukapata Malaria ya Kichwa ni dhambi!!! Au ukafa kabisa maana Malaria ni hatari sana na tatizo kubwa ni hela ya kununulia net na repellents zingine??!
 
Vipi kutolala kwenye net mbu wakakushambulia ukapata Malaria ya Kichwa ni dhambi!!! Au ukafa kabisa maana Malaria ni hatari sana na tatizo kubwa ni hela ya kununulia net na repellents zingine??!
Kama unaamua kujilaza kwenye sehemu yenye mbu kwa makusudi ni dhambi tena dhambi kubwa sana. Ila kama ni bahati mbaya sio dhambi.
 
Back
Top Bottom