Pombe ni dhambi, acha kuitumia

Pombe ni dhambi, acha kuitumia

ngono sio dhambi ila ikitumika nje ya maan ni dhambi sio?
How about pombe?
Vipi mtu akitumia na asitende hayo uliyosema ?
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Ukiona mtu akinywa Pombe anasababisha matatizo ujue huyo muhusika tayari alikuwa ni tatizo kabla hata hajanywa.

Utasikia oohh!! ukinywa pombe unatukana ama unapigana, mbona hatujawahi kuona bia zinapigana ama zinatukana zikiwa kwenye jokofu?

Kama pombe ingekuwa tatizo ama dhambi Yesu asingegeuza maji kuwa divai kwenye harusi ya Kana (Yohane 2: 1-25). Angewaambia wageni wanywe maji tu na chakula wasepe na sio kuwageuzia maji kuwa divai ili waburudike.

Ama unataka kutuambia wewe unajua sana kuliko Yesu?
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Mbona Yesu alikunywa pombe kwahiyo alitenda dhambi?
 
Mkuu wewe endelea na juisi yako ya mapapai, kwani Shida iko wapi?
Hujui umuhimu wa Gambe wewe. Hayo madhara yote ya Game uliyo orodhesha ni dhaifu sana ukilinganisha na Faida ya Gambe.
Gambe iheshimiwe mkuu
 
Pombe ina faida zake nyingi sana kisayansi na kitiba, inategemea tu unaitumia wapi na kwa kiwango gani.
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
SAwa vipi kuhusu bangi nayo ni dhambi,leta kifungu.
 
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Sio sahihi kusema hivyo. Ukweli ni kwamba kitu chochote kile kikitumika vibaya ni dhambi. Tumia pombe kiasi na usilewe. Ulevi ni dhambi, ulafi ni dhambi, ukifanya sana tendo la ndoa na mkeo kiasi cha kupitiliza ni dhambi kama ulevi na ulafi.
 
Tulia wewe!!
 

Attachments

  • 1000065170.jpeg
    1000065170.jpeg
    12.5 KB · Views: 2
Binadamu anapotumia pombe inaweza kumbadilisha na kuwa binadamu asiye wa kawaida. Anaweza kuanza kuropoka mambo ya ajabu kabisa. Huku anatembea anayumbayumba anaishiwa nguvu

Ni dhambi kwasababu pombe inaudanganyifu ndani yake
  • Pombe inafyatua akili yako unakua kama chizi
  • Unaongea kama teja au zombi
  • Unaongea peke yako, unatukana ovyoovyo
  • Unaongea matusi, wapo wengine wanapiga hadi wake zao na kuwatukana
  • Wapo wengine wanavua hadi nguo
  • Wengine wanafanya hadi uzinzi, wengine wanaweza fanya hadi ubakaji
  • Wengine wanavunja hadi amri za barabarani wanasababisha ajali.

Pombe ni dhambi. Acha pombe.
Unatukosea mkuu
Ww ndouache dhambi
Pombe sio dhambi
"Mpe mvinyo masikini asahau tabu zake"
 
Back
Top Bottom